Recent content by mwaipaja

  1. M

    JamiiForums Tanzania Majambazi yapora na kuua ndani ya daladala

    Vyombo vyetu vya Ulinzi bado vina changamoto kubwa sana
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Morogoro paralegal

    Asante hekimatele kwa mchango wako,
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Morogoro paralegal

    Asanteni wote kwa michango yenye mantiki.nakubaliana na ule usemi kuwa "Unapomudu kudhibiti hasira zako na chuki dhidi ya wale wote wanaokupinga kifikra, hapo ndipo unapodhihirisha kuwa wewe ni kati ya wasomi walioelimika"
  4. M

    JamiiForums Tanzania Morogoro paralega;

    TAARIFA KWA UMMA UKWELI KUHUSU MOROGORO PARALEGAL Kufuatia taarifa za upotoshaji zilizoandikwa na mwanachama (Member) wa Mtandao wa kijamii wa Jamii Forums aliyejitambulisha kwa jina la "Inkognito" ambaye pamoja na mambo mengine alituma kwenye Mtandao huo taarifa alizozipa jina la...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Morogoro paralegal

    TAARIFA KWA UMMA UKWELI KUHUSU MOROGORO PARALEGAL Kufuatia taarifa za upotoshaji zilizoandikwa na mwanachama (Member) wa Mtandao wa kijamii wa Jamii Forums aliyejitambulisha kwa jina la "Inkognito" ambaye pamoja na mambo mengine alituma kwenye Mtandao huo taarifa alizozipa jina la...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Madudu ya Morogoro Paralegal yasiachwe yaendelee

    Naitwa Amani Mwaipaja-Mwanasheria Mshauri, Mtafiti na Mtetezi wa Haki za Binadamu. Nimekuwa Mwanasheria wa Morogoro Paralegal tangu mwaka 2007 hadi leo hii. Baada ya kupitia maelezo ya Inkognito kuhusu Morogoro Paralegal, napenda kutoa taarifa za awali kuwa habari zilizoandikwa na Iknognito ni...
  7. M

    JamiiForums Tanzania IQ ya Marais wetu

    umejitahidi kidogo kueleza kuhusu nyerere,mkapa na mwinyi kwa kuoanisha baadhi ya masuala ya msingi lakini kwa kikwete umechemsha,kutoa mfano wa IQ ya kikwete kwa kutumia mfano jamii forum kumeonesha ni kwa kiasi gani IQ yako ilivyo na uwalakini,uhuru wa kuongea na kutoa mawazo yenye tija kwa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tupige marufuku kutumia title la Dr kwa watu hawa................

    Ndugu yangu fuatilia cv za watu ujue wana elimu gani,dk slaa ameenda shule,ana digrii ya sheria,masters huwez kumfananisha na dk wa uongo,dk wa kupewa JK
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kikwete chonde chonde.....waziri wa fedha....

    Hivi ni mbunge wa wapi?Lengo ni kuona kama anaweza kuteuliwa kuwa mbunge katika zile nafasi kumi za rais ili baadae amchague kwenye baraza lake,
  10. M

    JamiiForums Tanzania Leticia Musore wa CHADEMA ahamia NCCR

    Kama aliingia chadema akiwa na lengo la kupata vyetu ajue alipotea njia,aende hukohuko nccr,pengine watampa cheo kikubwa zaidi ya alichokuwa nacho wakati alipokuwa chadema.Upo sawa mgafilika
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 CCM Dar watangaza maandamano na kuahirisha ndani ya dakika 5

    Ni kawaida ya ccm kukurupuka,walijiandaa kuandamana,walipogundua kuwa wataonekana kituko na pengine kusababisha vurugu wakasitisha.taarifa kutoka ndani ya ccm zinasema kuwa vijana hao walionywa na vyombo vya usalama kuwa maandamano yao yatasabisha hasira na vurugu kutoka kwa wenye hasira na ccm...
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 CCM yatoa tamko kuhusu kitendo cha wabunge wa CHADEMA

    Tusome Ibara ya 71 ya katiba ya tanzania,imeeleza wazi sababu zinazoweza kumfanya mbunge apoteze kiti chake cha ubunge,kitendo cha wabunge wa chadema hakiwezi kuwafanya wapoteze nafasi zao .Kesho nabandika kanuni
  13. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 CCM yatoa tamko kuhusu kitendo cha wabunge wa CHADEMA

    Inaonekana elimu ya uraia bado haijawaingia watanzani,kuna umuhimu kwa watanzania kuisoma katiba ili kujua mapungufu yaliyomo.Tuna kazi kubwa ya kuwaelimisha watanzania.Kitendo kilichofanywa na chadema kimemfanya Kikwete kuongea,pinda ameongea,chiligati ameongea,UVCCM wameongea,wanaojiita wasomi...
  14. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

    Anatayarisha mazingira kwa ajili ya hoja ya OIC na Mahakama ya kadhi lakini sidhani kama njia anayoitumia ni ya busara,atafute njia nyingine ya kuzungumzia udini lakini si kwa kupitia siasa
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tamko la Vijana 'WASOMI' wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma Dhidi ya wabunge wa CHADEMA

    Inasikitisha sana,kuona wanaojiita wanafunzi wasomi wa dodoma kugeuzwa kuwa vikaragosi wa viongozi,hakuna hoja ya msingi wanayoileta mbele ya jamii wamebaki kumpamba kikwete na serikali yake iliyoshinda kwa ushindi wa misukule Kuna mambo mengi yaliyolifikisha taifa katika hali ngumu ikiwemo...
Back
Top Bottom