Chadema kuchaguliwa kuongoza jimbo ni haki yao sababu na wao ni wa tz vile vile ninashangaa baadhi ya watu kuona sehemu ikichaguliwa chadema wanashangaa na kuhisi kwamba ccm imeshindwa ni lazima iwe ivyo ile kuleta usawa kwa wa wa tz sasa majimbo mnaojiona ninyi bila ccm maisha yenu hayaendi...
Ww ndio msemaji wake? naona unajalibu kupangua hoja, kumbuka hii ni awamu ya tano, co ile mliokuwa mnajiamulia tu kufanya awamu ya fadhira na huruma.kama inawauma gazeti lipo kalishtakini na co kukanusha kienyeji.Na kuhusu gazeti et lituombe ladhi, mm ni msoaji sana wa hili gazeti sihitaji...
Ni njia nzuri Yericko kuelekea kuwa mwanaharakati kamili heshima kwako Yericko,achana nao hao ma ccm ya lumumba , Cdm ni chama makini na kinawanasheria makini na ndio maana ma ccm yanawabambikia wana chadema vijikesi vingine havina kichwa wala miguu lakini unakuta chama makini cdm kinazidi...
Nimelithibitisha hilo kwenye uchaguzi uliopita.Na bila kubadilisha katiba, na kuwa na tume huru, Cjiandikishi tena kwenye daftali la wapiga Kura maana yke ctapiga tena kura
Mkurugenzi Tanesco acha kujihami, NA UO MTANDAO WA UNDUGU,UKABILA,UNATHILI SHIRIKA KWA KIWANGO KIKUBWA. ASILIMIA KUBWA MFANYAKAZI MKONGWE WA TANESCO ANA NDUGU YKE ALIE MPACHIKA TANESCO YOYOTE TZ BILA KUJALI SIFA ALIZO NAZO NA NI ZAID YA MMOJA.MF MTOTO WAKE, WA KAKAAKE,BINAMU, SHANGAZI, JIRANI...
Ni lazima cku moja CCM iondoke madarakani, CCM no, umeweka topic hii kwa maana gani, CCM icinge iba matokeo cc Ukawa tungeshika dola Rais , wabunge nk hapo ungeona utofauti wa mi ccm na Ukawa.Mumebaka demokrasia alafu unaongea ujinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.