Huu ni wakati muhimu sana kwa Chadema, nyakati zinaruhusu kujenga upinzani imara dhidi ya CCM, naamini japo 2010 bado CCM itashinda, kwa muelekeo wa wananchi kwa sasa na CCM kama chama,mwaka 2015 ulikuwa ni wakati wa kuiweka CCM pembeni kama wapinzani wakijipanga vizuri.
Chadema kwa sasa ndio...