Pia hata kwa wale wanaosikia vyombo vya habari k.m redio na t.v wakiona anaanza kuyataja watueleze ili tuanze kufuatilia.Invissible tusaidie kupata Annalysis ya shule zilizofanya vizuri na wilaya zinazotoka top ten na shule kumi za mwisho,then tusaidie rank kimkoa,wilaya
Nimepata habari kupitia TBC taifa sasa hivi kuwa kufahulu kumeshuka kwa 3.3% na wengi wamefeli engilish na hisabati.Leo hii waziri wa elimu anatarajiwa kutoa matokeo ya darasa la saba, watakaopata data waturushie
nasikia mbeya wamepelekwa walimu wa upe tu na ni kampeni ya kupunguza akina mwakyembe wengine...sijui km hii ni kweliMbeya jamani vipi. Mbona haikuwakilisha vizuri? Hata Moa wa Mara pia ni kama umepunguza sana makali kulikoni? Mara mkoa uliotupa Mwisenge na Musoma Alliance?!
Hii inatisha wake up Mbeya.
Walimu wa voda vasta hawawezi kuchangia hali hii, let us increase our seriousness on our education system otherwise we will cry forever for being labour marked to our neighbour (EA community)nasikia mbeya wamepelekwa walimu wa upe tu na ni kampeni ya kupunguza akina mwakyembe wengine...sijui km hii ni kweli
nasikia mbeya wamepelekwa walimu wa upe tu na ni kampeni ya kupunguza akina mwakyembe wengine...sijui km hii ni kweli
Kwa mkoa wa mbeya,Afisa Elimu wa mkoa amekuwa ni bomu kupita kiasi,yeye hana kabisa na uamasishaji wa walimu katika kutoa elimu bora,yeye kakalia tu kunyanyasa walimu na kutumia cheo chake kuwapata walimu wa kike,tena ofisini kwake wanapokwenda kwa masuala ya kiofisi,Mkoani wanataarifa zake,sijui kwanini bado wanamwachia tu huku mkoa unazidi kushuka kielimu.Suala si waalimu peke yao. Waalimu wanatoa tu mwongozo darasani. Wazazi na vijana wenyewe wanatakiwa wawe na juhudi ya kujihimiza kufuatilia kilichofundishwa. Wazazi wanatakiwa wawawajibishe waalimu na hata watoe mikakati mbali mbali ya elimu. Sitaki kuendekeza ukabila, lakini angalieni wenzetu wa mikoa mingine ambavyo huwa wanatoa pesa zao binafsi ( michango NK) kujenga shule na kuwahimiza vijana wao. Mbeya inaweza kufanya vizuri tu kama wala ndizi wenzetu wengine wanavyofanya.