Habari ndugu zangu,
Nina shida Whatsapp yangu ilifungiwa kwasababu nilikua natumia GB whatsapp. Nikawasiliana nao kwa njia ya Email account ikafunguliwa.
Nikatumia whatsapp official kwa muda wa miezi mitatu ikaja kukataa tena inaleta ujumbe huu hali yakuwa natumia Official whatsapp..
Sio wanao
Tumia Unofficial whataapl tu..
Sisi watumiaji wa OPPO tunateseka mno.. Kama mimi simalizi week napigwa ban uki-reviuw wanakufungulia ndani ya 24 hrs
Habari wana JF,
Mimi ni mhitimu wa ufundi umeme majumbani mwaka wa pili. Nipo Dar Natafuta kazi hata ya kujitolea ili kuongeza ujuzi na uzoefu katika fani yangu.
Nina imani hapa JF wapo watu watanisaidia katika hili.
Asanteni🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.