Recent content by MwaFreeca

  1. MwaFreeca

    Msaada whatsapp

    Habari ndugu zangu, Nina shida Whatsapp yangu ilifungiwa kwasababu nilikua natumia GB whatsapp. Nikawasiliana nao kwa njia ya Email account ikafunguliwa. Nikatumia whatsapp official kwa muda wa miezi mitatu ikaja kukataa tena inaleta ujumbe huu hali yakuwa natumia Official whatsapp..
  2. MwaFreeca

    Daaah, bodaboda bodaboda...inauma sana

    Hio stand kaweka nani kwanza tuanzie hapo?
  3. MwaFreeca

    This account cannot use WhatsApp

    Sio wanao Tumia Unofficial whataapl tu.. Sisi watumiaji wa OPPO tunateseka mno.. Kama mimi simalizi week napigwa ban uki-reviuw wanakufungulia ndani ya 24 hrs
  4. MwaFreeca

    Natafuta kazi

    Ikitokea ya kujitolea nitafanya kwa moyo wote
  5. MwaFreeca

    Natafuta kazi

    Shukrani mkuu
  6. MwaFreeca

    Natafuta kazi

    Habari wana JF, Mimi ni mhitimu wa ufundi umeme majumbani mwaka wa pili. Nipo Dar Natafuta kazi hata ya kujitolea ili kuongeza ujuzi na uzoefu katika fani yangu. Nina imani hapa JF wapo watu watanisaidia katika hili. Asanteni🙏
  7. MwaFreeca

    FT: Al Hilal 3 - 1 ES Tunis | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 01.12.2023

    Hivi hawa si ligi yao imesimama?
  8. MwaFreeca

    Napata nguvu kushangilia Al Hilal

    Hakika.. Nilijua aAl hilal imepoteana ila kumbe bado wako vizuri mno wananistaajabisha hapa kwa mkapa
  9. MwaFreeca

    Iddi Hamidu kashindikana asifananishwe na yeyote

    Huyu seleman hamfikii hata mchizi wa bongo ( Macmuga)
  10. MwaFreeca

    Nafasi ya kazi ya ulinzi

    Ndio maana mnaibiwa yani mtu alinde mamilioni kwa mshahara wa 150k?
  11. MwaFreeca

    Ajira ya kuuza samaki

    Kwa ambae hayuko mwanza inakuaje
  12. MwaFreeca

    Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

    Ni wajinga tu wanaoaminu kuwa ule ni msalaba unaotumiwa na wakristo wakati Yesu hayupo pale
Back
Top Bottom