Recent content by Mwaana wa Adam

  1. M

    Kutoka Dodoma: Wimbo huu wa CCM si kejeli kwa Warioba na tume yake?

    Hakuna katiba mpya hapa! CCM wataendelea kutupuuza wananchi mpaka lini? M/Mungu tusaidie kuondoa kirusi hiki!
  2. M

    Rais Kikwete, mbona umeamua kuangamiza Taifa? - LEMA

    Salome! Kauli hiyo ya Mh. Rais haipaswi kuangaliwa kiushabiki wala kiunazi wa kisiasa! Tambua kuwa kauli ya AMIRI JESHI MKUU huwa ndio ya mwisho! Je, huoni kwamba vita ya wenyewe kwa wenyewe iko njiani kutokana na kauli hiyo? Ni vema kama Mh. Rais angefuta kauli yake ili kulinusuru taifa. CCM...
  3. M

    Kukataa maamuzi ya CCM bungeni ni kukataa maamuzi ya watanzania wengi.

    Elimu tosha sana kwa watu wanofikiri kwa mtazamo mmoja tu.
  4. M

    Mboni yangu inapata taswira ya utawala wa kurithishana pale kalenga

    Nami sioni kama ni sahihi sana kutokana na wakati! Hata kama ana haki na ana sifa za kuwa kiongozi, ingekuwa vema angesubiri 2015 ili apate muda wa kuombeleza kifo cha babake. Vinginevyo ndio maana nami napata hisia ya utawala wa kurithishana.
  5. M

    Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

    Tangu lini CCM tukawa wanyonge? Majeshi yote yetu, usalama wa taifa wetu. Inakuaje tuanze kupambana na hao tunaowaita wanatuonea kwa fujo zao? Kwanini tusipambane nao kwa kuwapa huduma bora wananchi ili kuwaziba midomo na kudhibiti fujo zao?
  6. M

    Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

    Ndio dalili ya anguko la chama chetu twawala! Mwenyezi Mungu tusaidie kuyaepuka machafuko haya yajayo!
  7. M

    Harakati za Zitto na mikutano yake ya sasa Kigoma zimekiingizia chama wanachama wangapi?

    Tuko pamoja kaka! Naomba CDM wamtimue na aende kwa wasaliti wenzake kwa watz.
  8. M

    Zitto: Nilichukua kadi ya CHADEMA mwaka 1993, Wakati wengine wakiwa bado CCM

    Kweli ndugu! Na tayari YESU ameshamdhibiti na hata kwepa adhabu ya milele. The same applies to ZZK ktk siasa za Tz na kujidaia ukongwe wake kwny chama na uchu wa madaraka ya sifaa badala ya kuwatumikia wananchi.
  9. M

    Nalivua pendo...

    Suala si kukimbia changamoto, bali ni kupambana nazo!
  10. M

    WANACHADEMA: Mmewahi kumsikia Dr Slaa akimsema vibaya Mh Lowassa??

    Safi mkuu! Watu hawana data wanakurupuka kuongea vitu wasivyovijua!
  11. M

    WANACHADEMA: Mmewahi kumsikia Dr Slaa akimsema vibaya Mh Lowassa??

    Mmehudhuria mikutano yote ya Dr.Slaa au mnakurupuka tu. Nilihudhuria mikutano mingi ya kampeni za uchaguzi mdogo waa Arumeru Mashariki mwaka jana. Alimchana sana huyo ENL! Slaa mtu makini bhana, hawezi kuwa na AJENDA YA KUMZUNGUMZIA ENL ktk kila mkutano wake!
  12. M

    Dr. Slaa, chagua maneno...

    Umezungumzia ubaguzi kwa mtazamo finyu sana. Ubaguzi unaofanywa na CCM ni zaidi hata na uliofanywa na makaburu, kwani makuburu hawakuwa waafrika wenzetu lakini CCM ni watanzania wenzetu. Dr.Slaa hata hivyo nafikiri alitumia maneno mepesi zaidi kuliko na ambavyo alipaswa kusema kuonesha ubaguzi...
  13. M

    Ngurumo: Ni kaburi la CCM au CHADEMA?

    @ Gamba la Nyoka, Haki ipi apatiwe mwanachama anayevunja katiba ya chama? Mbona CCM walimfanyia mizengwe ya chini chini JMS kutangaza adhma ya kupambana na JMK ktk kuteuliwa na chama kuwania uraisi ktk muda na wakati sahihi kwa mujibu wa katiba ya chama hata akaamua kujitoa mwenyewe.Hiyo ndio...
Back
Top Bottom