Kwa uchache sana babu yenu mikutano ya Mtani Jembe(SIMBA) inamnyima usingizi mpaka kwa muweweseko eti anamzuia asifanye mikutano. Mwambieni aachane kabisa na kijana na atatembea nchi nzima kukutana na wafuasi wake wote na mwisho atamalizia dar. Hapa ndio itakuwa funika bovu