Naam Iran imeonyesha umwamba wake na Israel imeonyesha udhaifu wake.
Unaposifiwa huwezekani inatakiwa uonyeshe uwezo wako na sio Vita izuiliwe na Big fish halafu uachiwe wewe kujieleza kwenye camera.
Upande wa Iran waliamua kutumia silaha za kiwango cha chini na nyingi kwa wakati mmoja na...
Huko Israel muda huu kama huna pango la kuingia kujificha, basi angalau ulale na chombo kama hivi ili kwa jirani kukinuka unatafuta njia ya kukimbia kuinusuru roho yako, hofu ni kubwa juu ya maroket ya Iran yasiyozuilika kwenye mifumo ya ulinzi.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Naam
Ni mengi yamejiri juu yako na heshima yako imeshushwa! Umetafutwa ugomvi kwa muda mrefu ili kobe atoe shingo, umefedheheshwa Iran na hata ile mipango yako ya Nyuklia imekuwa ikidhibitiwa ili wazidi kukuonea.
Umewekewa vikwazo lakini bado unazalisha silaha na kujitegemea kinyume na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.