Recent content by mvombeji

  1. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa CCM, Joseph Msukuma mikononi mwa Polisi kutokana na vurugu katIka Mgodi wa GGM

    Tutasikia mengi mwaka huu.
  2. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Spika Ndugai ona aibu, gharama za ndege ya kumleta Lissu Nairobi imelipwa na CHADEMA

    Ndege ilimbeba Lissu kutoka Dodoma to Nairobi moja kwa moja Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Dua za dhati kwa swahiba wangu Floyd Mayweather

    Kibongobongo itakuwa SAA tuangalie huo mtanange Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Sikieni CCM mnaolimezea mate jimbo la Lissu

    Lissu moto wa kuotea mbali,hata vijana wa Lumumba wanamkubali kimya kimya ila wanashindwa tu kuanika hadharani. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mvombeji

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kwenda mahakamani kudai haki ya mikutano ya hadhara

    Nadhani walikuwa wanajipanga maana ukienda mahakamani kustaki lazima uwe umejiweka sawasawa kwa lengo la kupata unachopigania Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wenzake Norah waamsha vilio msibani

    Watu wana roho za kinyama kupitiliza Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wenzake Norah waamsha vilio msibani

    R.I.P Norah,wale wenye familia kwa issue kama hizi,ni vema ukipata mgani nyumbani kwako mtafutie chumba cha peke yake,usimchanganye na watoto.Alale mwenyewe hakuna cha kuaminiana nowdays. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Tundu Lissu agoma kutoka nje ya Mahakama akihofia Polisi, wamshauri atoke hakamatwi..

    Sunguda mashariki ndio wapi mkubwa? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa CHADEMA Ukerewe wahamia CCM jioni hii

    Mkubwa ray jay swali moja tu kwako.Chama gani kimejaa mafisadi? Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  10. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Lissu: Makampuni yaliyotunyonya tangu 90's hayapo kwenye sheria ya madini

    Sasa kama hii miswada haiwahusu hawa Investors wa awali ina maana wao Acacia wataendelea na mambo yao km kawa,kwa mantiki hiyo,hakutakuwa kuwa tena na mashtaka.
  11. mvombeji

    JamiiForums Tanzania KIBITI: Mtendaji wa Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mangwi wauawa kwa kupigwa risasi

    Kuna ibada moja kutoka kwa Mzee wa kuliamsha DUDE,alisema Polisi kabla ya kwenda kupambana na hao wahalifu inabidi wafanye maombi maana kuna uwezekano wakawa wanapambana na watu wasio binadamu wa kawaida.
  12. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Kauli za viongozi mbalimbali kuhusu mwanafunzi atakayepata mimba

    Watoto wa siku hizi wamepinga,sasa bila kuwapiga biti km la Magu mimba zitazidi kwa kuwa wanajua si tutasoma tu.Kwanza wengine sio kwamba wanapata mimba kwa bahati mbaya,huwa wanataka wenyewe.Sasa bila kuwapiga marufuku ya kurudi shule,primary watafeli,form 4 mazero yatakuwa mengi kwa sababu ya...
  13. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Kauli za viongozi mbalimbali kuhusu mwanafunzi atakayepata mimba

    Aaah lile tangazo mda si mrefu hatutaliona.Kwishiney
  14. mvombeji

    JamiiForums Tanzania Shambulio la kigaidi vidi ya Waislamu London.

    Uingereza kwa sasa inaandamwa na matukio ya kila aina,sijui kuna pepo gani limeingia pale.Theresa may toka aingie ni mwendo wa matukio ya mauwaji,nahisi kuna watu wanatia fitina kutokana na Uingereza kutaka kujitoa EU.
Back
Top Bottom