Safi sana Rais wetu Tangaza Tanzania kwa kuimarisha lugha yetu ya Kiswahili sis wananchi tupo nyuma yako. Tunaahidi kukuunga mkono katika juhudi zako kubwa za kuijenga nchi yetu. Big up Baba!
Kuna nidhamu original na feki, hao unaowaona wanahangaika kuhamahama leo ni wale wenye nidhamu feki waliyokuwa wanamuonyesha Hayati baba wa Taifa, Sasa wameona hayupo wanaonyesha tabia zao original.
Uongozi ni dhamana, ukiuchezea utaukumbuka milele hata ukikaa nje bado utatamani urudi kwa namna tofauti, hata hivyo inatupasa kusahau yaliyopita kwa tuliochezea shilingi chooni. maana tukiendelea kukumbuka tutaumiza mioyo yetu bure!!!
Siasa ni wito na kuthubutu, ukiweza thubutu! mwenzenu amethubutu na anaendelea kuthubutu wanao mpenda wamuunge mkono usiyempenda kaa kimya au na wewe thubutu uungwe mkono. si jambo jema kumvunja moyo mwenzenu anayehisi umma unamhtaji. Malumbano ya nini, gombea wakuunge mkono au wakukatae. Hakuna...
Siasa ni wito na kuthubutu, ukiweza thubutu! mwenzenu amethubutu na anaendelea kuthubutu wanao mpenda wamuunge mkono usiyempenda kaa kimya au na wewe thubutu uungwe mkono. si jambo jema kumvunja moyo mwenzenu anayehisi umma unamhtaji. Malumbano ya nini, gombea wakuunge mkono au wakukatae. Hakuna...
Hapa tumepata funzo, kumbe kesho nzuri ni lazima iandaliwe leo; wengi walichagua wabunge kwa kutegemea kesho nzuri itaandaliwa kesho. sasa haya ndo matokeo. Kuna haja kubwa ya sisi wapiga kura kujitathimini vigezo tunavyotumia kumchagua mtu kuwa mbunge. pamoja na sifa nyinginezo lakini elimu...
Kama wazee wetu tuliowategemea katika masuala mbalimbali ya kisiasa wamepoteza mwelekeo, unategemea nini kwa kizazi kisichojua hata chimbuko la muungano huu? Bila shaka hawawezi kuona umuhimu wake. ipo haja wa elimu kuhusu nchi yetu na historia vianze kufundishwa upya kwa mtaala mpya kabisa. ili...
Waambie, maana watu wagumu kuelewa, na ukiwaambia ukweli wanadai kuwa wewe ni ccm! inamaana hakuna vyama zaidi ya ccm? hakuna watu wasio na mlengo wa chama chochote? Ukweli utabaki kuwa ukweli tu daima!
Hivi ni sahihi mtu kuharibu nyumba yake kwa makusudi na kisha kuhamia nyumba ya jirani. Mimi ni mwana ccm tena ukimichanja damu yangu ni ya ccm. lakini nasema hivi wanao dhani ccm ni mbovu wao ndo wabovu na wahame wote watuachie chama chetu tubaki wapenzi na watu tulio jazwa na misingi na sera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.