Zote... wewe umezoea 1+1=2 na hujui 3-1=2?Mkuu, hapa mimi zimenichanganya baada ya kuziona hapo kwenye ofisi ya chama, na ndio maana nikaomba kufahamishwa.
Jamani Tundu Lissu kapotelea wapi? mbona simsikii na simuoni?
Jamani Tundu Lissu kapotelea wapi? mbona simsikii na simuoni?
Jamani Tundu Lissu kapotelea wapi? mbona simsikii na simuoni?
Bendera za chama cha mafisadi. Hiyo moja imekaa kama vile ya majaribio hivi.
Mpe tundu uone atakavyo lissusua,ndo utajua yupo.Jamani Tundu Lissu kapotelea wapi? mbona simsikii na simuoni?