Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,001
- 12,458
Mi kwa ufupi namshukuru sana mh. Lowasa kwa kuinunua chadema na hatimaye kupitishwa kuwa mgombea kwa kura moja ya mwenyekiti. Siku zote watu waliamini chadema ni kiboko ya mafisadi, kumbe loh wapi bwana.
Kibaya zaidi tungeweza kuwpa nchi kumbe wao ndiyo mafisadi wa kutupwa. Sasa cheki mbowe anafaulisha mabilioni tu
Kibaya zaidi tungeweza kuwpa nchi kumbe wao ndiyo mafisadi wa kutupwa. Sasa cheki mbowe anafaulisha mabilioni tu