Recent content by mvaa viatu

  1. mvaa viatu

    TTCL ina deni la bilioni 403 ilhali mtaji bilioni 243

    Ludi nyumbani kumenoga
  2. mvaa viatu

    Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

    Usisahau zao linaloongoza kuipatia tz fedha za kigeni ni korosho.nakukumbusha pato la ges linawekwa ktk takwimu za dar.lakini pia kumbuka kuna mladi mkubwa wa lng unakuja ndio utakuwa mladi mkubwa kuingizia fedha tz unatoka lindi,kuna hifadhi kubwa ya ges bahari kuu bado haijachibwa ipo lindi
  3. mvaa viatu

    Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

    Kanda yakusini ipo juu kimapato,ispokua ges ya kilwa yaani songas inaesabiwa ktk pato la dar na ya mtwara pia.wakati kanda ya ziwa pato la dhahabu nk linawekwa ktk mikoa husika
  4. mvaa viatu

    Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

    Ongeza sauti mkuu,tume huru tutakula tukashiba.bavicha yaani nishida tu!
  5. mvaa viatu

    Nafanya makosa yote ila si kuoa mke asiyesoma

    Wewe unashida kichwani,yaani ukubali mkeo kubanduliwa ni afadhali kuliko std 7!!!? Kama hujui mauaji mengi ktk jamii yanatokana na usaliti ktk ndoa
  6. mvaa viatu

    Hayati Magufuli (R.I.P), Hivi Aliwezaje kufanya yote haya?

    Jpm namkubali ktk mambo mengi tu na simkubali ktk machache sana.tatizo la nchi hii lipo ktk unafki wa kidini.ktk maraisi wote waliowahi kuongoza nchi hii hakuna aliegusa kila idara kuifanyia mambo mazuri kama jk. Ingawa ni ukweli ktk uongozi wake wizi mwingi sana na ukwepaji kodi umefanyika...
  7. mvaa viatu

    Waziri Makamba, anza na Meneja wa TANESCO Kibamba

    Gongolamboto kuna maombi yanazai ya miezi 5 hata savei hawaendi kukagua hayo maombi,madai yao hawana gari
  8. mvaa viatu

    Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

    Mkuu ulitaka apokelewe na Biden pale JFK,unajua hii ni aina gani ya safari kwa hawa wakuu wa nchi wanachama wa UN? Work visit haihitaji mambwembwe yale kama State visit sijui mizinga 21 na upokelewe kwa gwaride,hii ni ziara ya kikazi tena UN siyo kwenye Serikali ya US hivyo si Biden wala Harris...
  9. mvaa viatu

    Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

    Munachoshindwa kuele kuna ziara za aina 2,unaweza kuwa na ziara kwa ajiri ya taifa huska na ziara za mikutano ni vitu viwili tofauti.hii ya samia ni yamkutano tu! Hata akienda ktk mikutano ya sadec huwa hivyo au umoja wa afrika. Ila ingelikuwa ziara ya mwaliko wa marekani ungeona bwebwe nyingi
  10. mvaa viatu

    Hayati Dkt. Magufuli aliwatumia wamachinga ili kujizolea umaarufu wa kisiasa, hakuwa na huruma na wamachinga

    Unahitaji kuelimishwa alijenga machinga comprex ni jk haijalishi fedha imetoka wapi, na lile daraja la ubungo utajema wamejenga wazungu kisa tu wametoa fedha? Na miladi yote inavyanzo vyake vya fedha ila anaetajwa ni yule alieidhinisha fedha kutoka kwaajili ya mladi husika
  11. mvaa viatu

    Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

    Historia ya nchi hii haiandikiki ng'o! Nasio kwamba haifahamiki nimakusudi tu! Kama unaweza katafute hotuba ya nyerere wakati anataka kung'atuka 1985
  12. mvaa viatu

    Ikulu Mawasiliano hawakuripoti taarifa ya safari ya Rais huko Zanzibar! Kulikoni..???

    Safari za mapumziko madogo mala chache sana hutolewa taarifa
  13. mvaa viatu

    Uhamiaji wanapaswa wapitie upya nyaraka za Wasomali nchini

    Sidhani kama kinana ana asili yakisomali, kuna baazi ya maeneo hapa nchini yana shombeshombe ya kiarabu lakini sio wasomali.kama pemba kilwa na tanga nk
Back
Top Bottom