Recent content by muuza ubuyu

  1. muuza ubuyu

    Nina safari ya Dar kwenda Kigoma. Madereva nipeni uzoefu!

    Vumbi ni kama kilomita sita (6) tu tena unapoingia Uvinza, ni sehemu ambayo mkandarasi yupo anamalizia kazi.
  2. muuza ubuyu

    Tabora

    Hiyo ishakuwa ya kizamani bro, aende Terrace, Blizz na Kiota Lounge!
  3. muuza ubuyu

    Website za biashara na mauzo ya maudhui (ingiza kipato)

    Naihitaji website kwa ajili ya NGO yangu
  4. muuza ubuyu

    OFA ya website ya biashara kwa Tsh. 250,000 tu!

    Mkuu habari, ninaihitaji huduma hii kwa ajili ya NGO ya ndugu yangu. Ningependa kujua ofisi yako ilipo pamoja na details zako ili nijue uhalisia/uhalali wa mtu/kampuni itakayonipa huduma. Huduma hii inahitajika kwa haraka sana na nipo nje ya Dar Es Salaam.
  5. muuza ubuyu

    Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    Weekend hii nilikuwa huko Mpanda mpaka Tanganyika. Nimepanga kurudi tena mwanzoni mwa July kutafuta maeneo huko mwese kwani wenyeji ndiyo wamenihakikishia uwepo wa maeneo mazuri, kwa bei nzuri 200K to 300K Kwa ekari, tena virgin land. Mtu ukipata hata ekari 50 - 100 mambo safi sana!
  6. muuza ubuyu

    Mgahawa maarufu hapo Tabora maarufu kwa 'chotara" wahudumu awajali wateja

    Customer care nzuri utaipata mikoa ya kaskazini, kuanzia Singida. Mikoa kama Tabora bado saaaaana!
  7. muuza ubuyu

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Heri ya mwaka mpya nawe pia. Mkuu, kupitia Uzi wako, yaani nimejikuta naupenda mji wa Dodoma mpaka sasa nimeamua kutafuta kiwanja! Asante sana.
  8. muuza ubuyu

    Wachora tatoo tunapitia mitihani mingi. Nimemchora tatoo kwenye makalio

    Hahahahaaaa, hawa jamaa ni wa Mufindi au Tanga?
  9. muuza ubuyu

    Rais Samia ampendekeza Profesa Janabi kuwa Mkurugenzi wa WHO-Afrika

    Muhimbili (by then Dar Es Salaam medical school then mwaka 1968 ikawa faculty of medicine of university of Dar Es Salaam) goes a way back Prof. Janabi akiwa kijana mdogo. Graduate wa Kwanza MD Muhimbili wamemaliza mwaka 1974. Sasa niambie kama mwaka 1974 tayari Janabi alikuwa ameshakuwa daktari.
  10. muuza ubuyu

    Sijawahi kuwa na rafiki wa kudumu

    Nzokasazi, hahahaha sawa ontuzu
  11. muuza ubuyu

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hii story imenifanya nivutiwe ghafla na mji wa Dodoma. Nataka nije niutembelee niujue vizuri Kwa sababu unanitamanisha kuweka makazi na biashara hapa.
  12. muuza ubuyu

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Usikute boss wako ndiyo Insider mwenyewe sema anakuchora tu ,😀😀😀
  13. muuza ubuyu

    Tusidanganyane, hakuna dawa ya kudumu ya jino bovu! Usiku wa leo nusura nilale uvunguni

    Jino huwa linamaumivu ambayo hayavumiliki. Nakumbuka 2014 lilinisumbua panadol ikagoma kufanya kazi, nikawa nakaa na chupa ya chai imejaa maji ya uvuguvugu naweka mdomoni natulia, mwanzoni ilisaidia lakini mwishoni ikagoma. Siku ya mwisho sikulala, Kesho yakee asubuhi niliamkia hospitality. Jino...
  14. muuza ubuyu

    Nahisi yule hakua mtu wa kawaida bali malaika

    Hiyo ni Kwa siku zidisha mara 30 (idadi ya siku Kwa mwezi mmoja).
Back
Top Bottom