Hakuna mahali ambapo hakuna vishoka kiongozi,nenda brela,utawakuta,nenda tanesco wapo,sokoni wapo,feri kwa mama lishe wapo vishoka,hospitalini muhimbili mwaka jana tumepeleka mgonjwa alovunjika mkono,vishoka walikuwepo wanapiga dili na madactari pale kitengo cha mifupa,stand wapo,du hiyo ndo tz...