TANESCO, Arusha mmenishangaza!

TANESCO, Arusha mmenishangaza!

mutufulani

Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
13
Reaction score
1
Nimeshangaa kuomba nibadilishiwe tariff baada ya kuona matumizi yangu ni madogo kwa mwezi kuliko charges ninazochajiwa.

Nilichoambiwa ni kwamba makao makuu Dar wamezuia kwa sababu watu wanaoomba ni wengi sana kwa hiyo form za maombi hayo ni nyingi sana hapo ofisini hata hazitashughulikiwa, eti kama nataka nitoe elfu 70 nibadilishiwe juu kwa juu.

Nimekataa, naomba tujue kama kweli makao makuu ndo wametoa hilo agizo, pia kwanini mtu alipishwe gharama ambazo ni mara 2 ya matumizi yake kama service charge na kodi?hii ni TANESCO ARUSHA.
 
Nimeshangaa kuomba nibadilishiwe tariff baada ya kuona matumizi yangu ni madogo kwa mwezi kuliko charges ninazochajiwa,nilichoambiwa ni kwamba makao makuu dar wamezuia kwa sababu watu wanaoomba ni wengi sana kwa hiyo form za maombi hayo ni nyingi sana hapo ofisini hata hazitashughulikiwa,eti kama nataka nitoe elfu 70 nibadilishiwe ju kwa ju.nimekataa.naomba tujue kama kweli makao makuu ndo wametoa hilo agizo,pia kwanini mtu alipishwe gharama ambazo ni mara 2 ya matumizi yake kama service charge na kodi?hii ni TANESCO ARUSHA,

Mi nilijitoa kwa service charge ila naona kama mita ndio inamaliza units 2x, bora ningeacha tuu... Nilikuwa natumia 50 units lakin sasa ni more than 100units for the same load
 
Nimeshangaa kuomba nibadilishiwe tariff baada ya kuona matumizi yangu ni madogo kwa mwezi kuliko charges ninazochajiwa.

Nilichoambiwa ni kwamba makao makuu Dar wamezuia kwa sababu watu wanaoomba ni wengi sana kwa hiyo form za maombi hayo ni nyingi sana hapo ofisini hata hazitashughulikiwa, eti kama nataka nitoe elfu 70 nibadilishiwe juu kwa juu.

Nimekataa, naomba tujue kama kweli makao makuu ndo wametoa hilo agizo, pia kwanini mtu alipishwe gharama ambazo ni mara 2 ya matumizi yake kama service charge na kodi?hii ni TANESCO ARUSHA.

Ndugu yangu hakuna kitu kama hicho, huduma hiyo inaendelea kutolewa, kikubwa ni kuhakikisha matumizi yako ya mwezi hayavuki unit 70. Yakizidi maana yake utalipa gharama zaidi.

Naomba tuwasiliane pia ututajie huyo mtu alie kuomba kiasi hicho cha pesa kwa hatua zaidi
 
Ndugu yangu hakuna kitu kama hicho, huduma hiyo inaendelea kutolewa, kikubwa ni kuhakikisha matumizi yako ya mwezi hayavuki unit 70. Yakizidi maana yake utalipa gharama zaidi.

Naomba tuwasiliane pia ututajie huyo mtu alie kuomba kiasi hicho cha pesa kwa hatua zaidi

Vp kuhusu zile mita za zamani kama mtu akihitaji kubadilishiwa na kuwekewa ya luku inakuaje? Na kama ilkiwa na deni mtumiaji anaweza kubadilishiwa na kisha kukatwa polepole % fulani kupitia luku? Au utaratibu umekaaje?
 
Nafikiri majuzi hapa TANESCO wetangaza namba za kuwasilisha kero kama hizo
Watendaji kazi wa taasisi hii ya umma ni janga lingine...
 
Back
Top Bottom