Huyo huyo kashindwa mkuu wana kalenga wameamua ...kwa sasa kilichobaki Ni kuunganisha nguvu ili wapiganie maslahi ya wana kalenga chini ya mbunge MDEDE
kalenga Ni mdede! Ni Mara baada ya wajumbe kumpigia kura za ndio 66 Dhidi ya mpinzani wake Sankara aliyepata kura 65! Ni kijana machachari akitokea kuwa rais WA serikali ya wanafunzi CUHAS- BUGANDO na rais WA TAHLISSO mpaka sasa anaenda kupeperusha bendera ya UKAWA kupitia CHADEMA! Mtoto WA...
Naandika haya nikiwa na uchungu mkubwa sana! Vijana wa sasa hivi wamekuw ana bei rahisi kama peremende! na mbaya zaidi ni kwamba ni vijana hawa hawa wanaojiita wasomi wa elimu ya juu....inanisikitisha sana mimi kama kijana niliyeko huku chuoni! Juzi wahuni flani wamejikusanya hapa Mwanza...
sasa hivi huyu jamaa kageuka kuwa mbunge wa vyombo vya habari maana kila muda anaropoka tu kwenye vyombo vya habari.....hajui kwamba ni bora kunyamaza watu wakahisi kuwa wewe ni mpumbavu kuliko kuongea na watu wakadhihirisha upumbavu wako
Hapa naona uhuni uliopitiliza lakini tuko makini na ili kuthibitisha angalieni habari star tv na itv jumamos jioni! Huyu ----- WA bugando kanunuliwa na anaowajua yeye
kwa hali ilivyo sasa mara Gwajima anatukana mara nani anafanyaje inaonekana Taifa limegawanyika....tusifanye ushabiki tukae na kutafakari wapi tumekosea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.