Natumai mnaendelea na kazi vizuri. Nina dukuduku langu kuhusu utoaji wa mikopo kwa watumishi kama mimi, kwani nimeomba mkopo katika bank yako na kukamilisha taratibu zote na kuwasilisha fomu kwa Afisa Mikopo tangu 23/09/2015 hadi sasa sijapata.
Ni ajabu kwamba inachukua muda mrefu kiasi hicho...
Tablet yangu haikubali kutuma/kupokea mafaili kwa njia ya
bluetooth pamoja na kuwa uwa imeunganishwa
kwenye kifaa kama Kompyuta au simu ninayotaka kutuma faili!
Ninaomba msaada kwa wajuzi wa mambo haya hapa JF!
1. Ninapoitumia hasa kwenye internet inapata joto sana na charge haikai muda mrefu inazima.
2. Wakati mwingine inaishiwa charge wakati IPO kwenye kuchaji!
3. Tatizo hili limeanza zaidi ya juma moja wakati nimeitumia miaka 2 bila usumbufu!
4. Anayejua jinsi ya kutatua tatizo anisaidie tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.