Kwa mwalimu idara ya sekondari PHYSICS AND MATHEMATICS au hata PHYSICS CHEMISTRY,anaetaka kuja kwao kanda ya ziwa Tanganyika Mkoa wa KIGOMA kijiji kipo eneo la mwendo wa saa1 kufika Kigoma mjini.

Aje kwao mimi nije mikoa ya IRINGA,MOROGORO,MBEYA,MAKAMBAKO MJI. Karibu Tubadilishane mahitaji muhimu kwangu juu ya uhamisho na vigezo ninavyo!!
 
Back
Top Bottom