Sio wote wanaamua wenywe, ni kweli ni bahati mbaya, as for me ilitokea siku ya kwanza naanza kukutana Na mpenzi Wangu, nilikua sijui a wala ee kitu kikanasa Tena cha kike. From there sasa hivi naulewa mwili Wangu vibaya mno, sijawahi tumia contraceptive yoyote, natembea Na siku tu. Ujinga wa...