Mimi nayalima ila nayalima kienyeji.
Gharama zake ni kama ifuatavyo
Kugeuza eka moja no 30,000
Kuotesha eka moja in 30,000
Kupalilia eka moja 30,000
Kila eka moja debe moja LA kg 20 linatosha
Kungoa maharage eka moja ni 10,000
Kupiga maharage ni 5000 KWA gunia, ambapo mara nyingi navuna...
Katka swala ambalo tunalipeleka kwa uwazi sana katika ndoa yetu ni swala LA hela kwa kweli, hatunaga siri hafu tuna one common password kwa ATM zote na mpsa zetu zote. Mi kama Mr hajui anashikaga kadi take inapokuwa imemezwa ndo anaishika tena sio kukaa Nayo, anaenda kunichukulia yani, mshahara...
Queen Elizabeth og yametengenezwa nchi gani wapendwa, Leo nimeenda dukani kuyafata nilipoona ona tu ni made in courtdevoire sijui cot what nikakosa imani nayo kabisa, ikabidi tu nije na Shea butter, i
Sio wote wanaamua wenywe, ni kweli ni bahati mbaya, as for me ilitokea siku ya kwanza naanza kukutana Na mpenzi Wangu, nilikua sijui a wala ee kitu kikanasa Tena cha kike. From there sasa hivi naulewa mwili Wangu vibaya mno, sijawahi tumia contraceptive yoyote, natembea Na siku tu. Ujinga wa...
Nina tatizo ambalo kwa sasa imekuwa ikinikosesha raha sana jamani. nikiwa nakaribia kublid uke wangu unatoa harufu ambayo sio nzuri kwa kweli. Hali hiyo pia inajirudia nikiwa kwenye siku za mwisho blid. Naoga asubuhi na jioni. Help me plz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.