Recent content by Mutashindwa

  1. M

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Wakuu naombeni ushauri, Nina rafiki yupo USA tulikutana. online tuna miezi miwili sasa, je akinitumia mwaliko pale US embassy watanipa visa? au inatakiwa urafiki uwe wa mda mrefu ?? angalau miezi mingapi??? Nisaidieni. wakuu.
  2. M

    Ushuru wa simu (smartphones) kutoka China ni sh. ngapi?

    Wadau, Mimi nina plan ya kufanya biashara ya simu kutoka China lakini sijui ushuru ni kiasi gani pale Airport. Naomba anaejua anifahamishe.
  3. M

    Natafuta mtu wa kufanya nae biashara

    Mkuu weka namba yako hapo
  4. M

    Mikopo midogo midogo

    Mkuu mm niko Dar nahitaji mil 1 lkn cna dhamana lkn nina uhakika wa kurejesha bila wasiwasi coz nimeajiriwa tena kwny kampuni maarufu Tz nzima kila mtu anaijua
  5. M

    Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

    Matunge naomba unicheck . mi cjui namna ya kuangalia no. yako kwny hii app
  6. M

    Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

    Matunge naomba unicheck on watsapp 0656747074
  7. M

    Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

    Safi sana mkuu kwa ushauri mzuri kuhusu driving niko vizuri but kwa gari ndogo za auto, pia kuhusu lugha niko vizuri pia
  8. M

    Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

    Asante mkuu kwa ushauri but naomba unielekeze inafikaje mil. 5 wakati nauli ni 1.5?
  9. M

    Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

    Kwa upande wa lugha niko vizuri sana but urahisi wa kupata visa na mahali pa kufikia huko. Naombeni msaada
  10. M

    Ni mwanasiasa yupi mahiri kwa kujenga hoja?

    Zitto Kabwe & Magufuli
Back
Top Bottom