Mikopo midogo midogo

Mikopo midogo midogo

Kama wewe ni mtumishi wa serikali na bado una imani hizo kuna tatizo. Hoja yako haina Nguvu hata kidogo kubaki na dhamana iwapo mkopaji atashindwa kulipa ni hasara kwa mkopeshaji vitu haviuziki ndg yangu. Vile vile kuwa mtumishi haimaniishi kwamba ukope bila dhamana ukitumbuliwa nitakupata wapi? Mwisho nakushauri achana na imani hizo za kishirikina mwamini Mungu wako kama kuna watu wanafanya hizo watashindwa. Siku njema.
mimi ni civil &God servant nimekopa benk nafanya biashara zangu tu sihitaji mkopo kwasasa.Niliwahi kuona mjamaa mmoja inachukuliwa harrier yake kwakushindwa kulipa ml.5 ,ikalazimika waumini wenzake tumchangie ili kuinusuru mali yake.Tulipofuatilia tukagundua kuwa yule mtu ndiyo ulikuwa mchezo wake kukopesha pesa kwa wenye uhitaji huku wakiweka rehani za mali zao then hufunga kishirikina kipato cha mtu ili mdaiwa ashindwe kukomboa mali yake kisha huiuza kwa faida kubwa. Harrier aliyoitumia kwa mwaka mmoja ilitaka kupotea kwa ml.5
 
mimi nimeajiriwa nahitaji laki moja tu nitarudisha 130,000. sina mali ya kuweka ila utakuja tukabidhiane ofisini na nitakupa document za muhimu. inawezekana?? Alex Protase
 
mimi ni civil &God servant nimekopa benk nafanya biashara zangu tu sihitaji mkopo kwasasa.Niliwahi kuona mjamaa mmoja inachukuliwa harrier yake kwakushindwa kulipa ml.5 ,ikalazimika waumini wenzake tumchangie ili kuinusuru mali yake.Tulipofuatilia tukagundua kuwa yule mtu ndiyo ulikuwa mchezo wake kukopesha pesa kwa wenye uhitaji huku wakiweka rehani za mali zao then hufunga kishirikina kipato cha mtu ili mdaiwa ashindwe kukomboa mali yake kisha huiuza kwa faida kubwa. Harrier aliyoitumia kwa mwaka mmoja ilitaka kupotea kwa ml.5
Bullsh*t
 
Hayupo serious kwa kwel sisi tunataka hio mikopo nyoosha maneno basi mkuu tuje kuchukua
 
Mkuu mm niko Dar nahitaji mil 1 lkn cna dhamana lkn nina uhakika wa kurejesha bila wasiwasi coz nimeajiriwa tena kwny kampuni maarufu Tz nzima kila mtu anaijua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom