karibu bukoba mh Waziri Mkuu Mjaliwa kesho jpili kabla ya kuzindua mradi binafsi wa maji ya kunywa tuzindulie jengo la kisasa uwanja wa ndege ambalo ni kodi ya wananchi na kazi nzuri aliyofanya BaloziKagasheki.
Nimejulishwa leo mji wa Bukoba umezungukwa na magari ya polisi kuwatisha bodaboda juu ya madai ya kila pikipiki kukamatwa na kulipishwa elfu sitini bila maelezo hata kama haina makosa.Inasemekana leo walitaka kugoma na pengine kuandamana.Dawa sio vitisho wapeni maelezo hizo elfu sitini kwa kila...
Ugomvi wa Kamukala na Meya wa Bukoba unajulikana tangu mwaka juzi aliponyimwa fedha na Meya eti kumfichia kashifa ya shule za Amani kwa madai ya kutapeli wazazi.Mshiko alinyimwa na habari akaandika tangu wakati huo amejipambanua kama mhariri mwenye njaa anayelamba miguu ya Kagasheki
Abiria aliyetambuliwa kwa majina ya George Onesmo amefariki ndani ya basi la Mohamed Trans namba T642 lililotoka Dar kuelekea Bukoba.
Mwili umehifadhiwa hospitali ya mkoa wa Kagera na marehemu amepatwa na mauti kati ya mji wa Kahama na Chato.
Kamanda wa Polisi Henry Salewi amesema...
Muda mfupi uliopita rais Jakaya Kikwete amehudhuria mazishi ya Mbunge wa kwanza wa Muleba David Bakanyoma Zimbihile(80) katika mtaa wa Bugombe kata ya Muleba akiwa na My wife wake.Kinachojadiliwa hapa Muleba ni kuondoka kimya kimya bila kuzungumza chochote juu ya huyo mpigania uhuru.
Wengine...
Naibu wa mambo ya ndani Khamis Kagasheki amesema CCM haiwezi kujisafisha kwa wananchi kwa kung'ang'ania Chenge na Lowassa kufuata mkondo wa Rostamu Azizi.
Ameyasema hivi punde katika mkutano na wananchi wa Bukoba maeneo ya soko kuu.
Mbunge wa kwanza wa jimbo la Ihangiro sasa Muleba Kusini David Bakanyoma Zimbihile amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospital moja jijini Dar.Kwa mujibu wa mtoto wake ambaye ni katibu wa vijana wa CCM Bukoba Vijijini mipango ya kumsafirisha inafanyika.
Ukiwa na rais anayeamini zaidi nguvu za giza,mambo haya ni kawaida katika ziara zake.Wakazi wa Bukoba walimkataa katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana.Alizidiwa kwa mbali na Dk wa ukweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.