Nan kasema n wanafunz wa chuo walokua wakizonea, chunguza na ufatilie kwa ukaribu zaid midahalo mingi..me a hate tabia yakuwakod watu na kuwachukua kwe coaster eti kuwapa support at the end wanatambulika kuwa wanachuo. Jaman tusidanganyike, nilikuwa eneo lile na niliona yalioendelea so stop...
Weee unekaa chini nankubisha juu ya malipo hayo ufikirie sana, kwanza fedha iz tunakopeshwa sio kupewa kwaiyo ni zetu na baadae lazima ziludishwe so pliz guyz u mist understand that...
Juu ya suala la matumiz ni la mtu binafsi na hustaili kuingilia suala ilo.....
Kwan mnabishana nin, em anayejua kaz za mbunge katika kufanikisha maendeleo afunguke then tujue kama mpangilio na maendeleo ya wana Mbeya ni mkono wa Sugu au vp??
Kama ni kweli hayo usemayo basi inafika wakat binadam tuwe na huruma kwan mwenye maamuzi yakuhukumu ni Mungu tuu aliye juu, kwa maon yangu ni kwamba Diamond amsamehe tuu mzee kwan iki pia ni kipindi cha mwez mtukufu wa ramadhan hivyo ni fursa pekee yakusamehana na kupendana mengine tumuachie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.