Sikucheki wala sikulaumu hyo ipo na nimeishuhudia sana kuna bint mmoja yupo ujeruman ndiyo zake unamlipia clubs unamnunulia biaa ikifika muda wa kucheza nae anakutukana anakufanyia fujo kama akujuiii
Kweli mtoaa mada kumbuka ni wasanii wangapi tulikuwa nao begaa kwa begaa kwenye kampen zetu za ,chadema Leo hii nusu mzima wametukana na wamelejeaa ccm naamin hata hyu atalejeaaa tu. Ccm mboe amka baba achana na hawa vibalakaa
Wanao mpinga makonda inaonekana wote watumiaji na makontena kwa nn jambo kama hili tusimuunge mkono au unaona raha unavyowakuta vijana balabalan wakisinzia huku wamesimama plz tuunge mkono swala hili tuache siasi
Mmeshasahauu juzi tu mlikuwa mnamshtumu kuwa hana mamlaka ya kuwataja viongozi wakubwa sio jukumu lake Leo kaacha amemkabidi kijiti mtu mwingine mnamlaumu sss watanzaniaa tunaakili gani ss jamni
Inaonekana humu ndan wengi zoezi hamjalipenda analofanya mh makonda mnatafuta kila njia kupinga hili zoezi lisitishwe alafu baadae muanze kusema walishindwa baada ya kumpa nguvu mnanyongonyeza tena mnponda sijapenda kama mtanzania ingawa nipo mbali na Tz tubadulike ndugu zangu nimeona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.