Recent content by MUST

  1. M

    Dark days 17/03/20

    Hapo ungejibu Tu ukweli. Sio MUHIMU kutupa matumaini hewa. Truth shall set us Free
  2. M

    Nahitaji fundi wa kushona nguo

    Habari wadau. Nina kazi ya kushona uniform za wanafunzi. Cherehani ninazo ila nahitaji mafundi wenye uwezo wa kushona. Dondoo za kazi ni zifuatazo; 1. Uniform ni za kike na kiume. Za Kike ni Gauni au Blauzi (Top) na Suruali na za kiume ni Suruali tu 2. Kazi inafanyika KIMARA DSM 3. Nahitaji...
  3. M

    Wanatafutwa wasimamizi wawili wa Call Centre

    Don't spoil. Sio mikopo online. FYI
  4. M

    Wanahitajika msimamizi wa call centre (nafasi 2) Dar-Es-Salaam

    Wadau jukwaa la KENYA natafuta WAKENYA 2 nafasi ya usimamizi wa kituo cha kupiga simu kwa wateja. Kazi zake ni kama zifuatazo 1. Kusimamia timu ya upigaji simu ili kuhakikisha kazi inafanyika kwa ufanisi 2. Kuongoza timu ya upigaji simu kulingana na Utaratibu na malengo ya Taasisi 3. Kusimamia...
  5. M

    Wanatafutwa wasimamizi wawili wa Call Centre

    Wadau natafuta msimamizi wa kituo cha kupiga simu kwa wateja. Kazi zake ni kama zifuatazo 1. Kusimamia timu ya upigaji simu ili kuhakikisha kazi inafanyika kwa ufanisi 2. Kuongoza timu ya upigaji simu kulingana na Utaratibu na malengo ya Taasisi 3. Kusimamia na kuongoza vikao vya kila siku vya...
  6. M

    Majina ya Radio zinazosikilizwa sana mikoani

    Habari wadau. Napenda kujuaa majina ya Vituo vya radio vinavyosikilizwa sana Mikoani na vinafaa kutuma matangazo. Mikoa ninayoitarget ni hii 1. Morogoro 2. Tanga 3. Moshi 4. Arusha 5. Babati 6. Tabora 7. Mbeya 8. Iringa 9. Mara 10. Katavi Asanteni
  7. M

    MUHASIBU ANAHITAJIKA

    Habari Jukwaani. Tunatafuta Muhasibu mwenye level ya Degree kwa ajili ya kazi za Kihasibu. Maomba yanaweza kutumwa mwenye email csmsola@gmail.com au Kwa whatsup number 0713664912. Hakikisha umeambatanisha CV na Vyeti. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 15 November. Karibuni
  8. M

    Natafuta Marketing Officer

    Can you kindly assist to get one?
  9. M

    Natafuta Marketing Officer

    Habari. Natafuta Marketing Offier kutoka Kenya (Awe Kenyan). Sehemu ya Kazi ni Dar-es-salaam. Qualification ni Bachelor in Marketing with 3 years of experience. Most awe dedicated and results oriented Reach me through email csmsola@gmail.com or Whatsup Number +255713664912
  10. M

    Nahitaji watu wa kuandika bussinessplan na hesabu kwa ajili ya mkopo

    Kichwa cha habari kinajieleza. Nahitaji msaada huo kwa mtu mwenye uwezo wa kuandika bussiness plan pamoja na hesabu kwa ajili ya kuombea mkopo anitafute. Nitumie ujumbe kwa namba 0713664912 au Whatsup message kwa namba hiyohiyo.
  11. M

    Plot4Sale Eneo zuri linauzwa kibaigwa Dodoma

    Barabara isikutishe kiongozi. Eneo Lipo nje ya road reserve kabisa. Wilaya ni Gairo na Kong wa. Mpwapwa yes ni wilaya ya Dodoma lakini ipo mbali kidogo. Karibu inbox coordinates na specific details tutashare. Eneo bado Lipo karibuni wadau Cc Chillah
  12. M

    Plot4Sale Eneo zuri linauzwa kibaigwa Dodoma

    Wakuu eneo bado Lipo. Karibu inbox au piga hizo namba tuzungumze
Back
Top Bottom