Hapo inabidi kutuliza akili maana ukikimbilia u udaktari tu ...ukishakosa imekula kwako..vyuoo vya Doctor of medicine kimeongezeka St Fransis Ifakara.muhimbili,KCMC ,UDOM,BUGANDO,KAIRUKI,SY JOSEPH...KAMPLA WAMEPIGWA PIN MEDICINA wamefunguliwa Pharmacy
kwa wanaohitaji kujiunga na vyuo..kwa waliosoma Science inabidi kuwa makini Sana'a...baada ya TCU kushusha..vigezo vya GP na point...wengi watakimbiliaa kuomba u doctor na pharmacy matokeo yakee watakosaa ...wakirudi kupanga tena ...wanakuta nafasi zilizobaki in Education tu.
PSSSF Member Portal nimejaribu kutumia link hiyoo kujaribu kujisajili ili niweze kujuaa taarifa zangu, sijafanikiwa.
Msaada kwa anayejuaa jinsi ya kujisajili
Leo tar 27 febr majina mengine ya mikopo yamebandikwa chuo cha StJohn ,Majina ya watu mia hamsin150 ya walio Appeal ; Kwa tulio Fanya Appeal tusikate tamaa majina mengine bado yanatoka.
To all who are interested in pursuing Certifcate in Medical Laboratory Sciences, Certificate in Pharmaceutical Sciences, Diploma in Medical Laboratory Sciences and Diploma in Pharmaceutical Sciences, you can now apply for the program of your choice through NACTE, www.nacte.go.tz OR...
Kwa wanavyuo ambao majina yao yapo kwenye tangazo la TCU wametakiwa kutokua na hofu
[ Msemaji mkuu wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Edward Mkaku ametoa ufafanuzi kuhusu tangazo lililotolewa na Tume hiyo kuhusiana na udahili wa wanafunzi wa vyuo vikuu, amabapo majina na idadi ya wanafunzi...
Wale ambao majina yao yametolewa na TCU kwamba hawana vigezo ,hata kama ulimaliza chuo, cha kufanya ni kwenda chuo ulichosoma ukiwa na vyeti vyako vyote
Kidato cha Nne
Kidato cha sita
Kama ni kutoka Diploma (equiv)
Cheti cha Diploma
Transcript
Pamoja cha kidato cha nne
Na sita kama ulikitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.