must be
Member
- Oct 6, 2014
- 84
- 28
Mipango yangu ilikuwa ni kuoa mzungu.. Nimeisitisha kwa sababu moja kubwa.. Raha ya ndoa ni umbea.. Kabla ya kulala mnaanza kumsema jirani wa kwanza.. Jirani wa pili.. Bosi wako halafu mnafanya tendo kisha mnalala... Nikioa mzungu haya hayawezekani.. Umbea na kizungu wapi na wapi?