Tatizo tayari wanamajibu vichwani mwao na wanataka yawe hivyo, ikiwa kinyume na matarajio yao utawasikia wakilalama. Maandiko yanasema "Kamwe hawatawaacha mpaka mfanane nao" Naamini Mungu atadhihirisha ukweli juu ya hili, hakuna mtu anayefurahia watu wakifa ama kuumizwa lakini pia inauma sana...
Hii ni sawa na kusema kuwa wachezaji wameshindwa kufunga magoli sababu kuwa goli ni dogo hivyo unawatanulia goli ili wafunge vizuri. Haya ngoja tusubiri matokeo yauchakachuaji sijui wale waliochora Messi inabidi nao wapewe maksi?
Hii tu inatosha kumuondoa kwenye hiyo nafasi manake haimudu. Hivi angeulizwa maswali angeweza kujibu? Jamaa kilaza kweli manake Historia ya Tanzania haihitaji usome mahali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.