Kwa mtazamo wangu mdogo sioni madhara ya hotuba hiyo chadema ina madhumuni ya kupinga ufisadi kama yuko kiongozi yeyote wa ccm anayepinga ufisadi hatuna budi kumuunga mkono kwa sababu tunashaabiana malengo..
Kweli Mwigulu kaishiwa sera hana cha kutuambia zaidi ya mahusiano ya watu binafsi hakika kwa Mwigulu huu ni umbea tuambie sasa na alilala nae gesti gani
Mbona chama chake hakuna anayemuuliza mapato na matumizi na mbona kama chama chake kinatenda haki mbona hana wafuasi zaidi ya hamsini cha zaidi kumuweka mkewe kama katibu mkuu sasa anataka kuongelea nini chadema
Kama huna ya kuongea ni afadhali ukae kimya kama walimu wa chuo nduyo kama wewe basi hukuna vyuo tena walimu wanaoongee upuuzi kama wewe ni janga la kitaifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.