Nje ya siasa hawa akina Lema, Wenje, Mnyika, Slaa and co. si watakufa njaa!?

Kama wewe ni mwalimu basi ni sababu mojawapo kubwa ya kwanini kiwango chetu cha elimu kimezidi kuporomoka.

Kwa akili aina hiyo naomba MUNGU wanangu wasikae wapite mikononi mwa walimu wa aina yako maana mnaua fikra kwa kuendekeza njaa. By the way mbona hujamkaribisha kwenye chama chenu?

Je ni kwanini wewe, Dr. Kitila vipi yeye mkisaidiana na akina Bana, msiende pale Lumumba mkaanzishe darasa la usaliti, uhaini na unafiki? Hiyo digirii/diploma italipa sana pale CCM na demand ni kubwa (ila iwe kabla ya 2015).

Changamkieni tenda hiyo.....ndio innovation yenyewe!
 
Kiongozi umeiweka vizuri sana hiyo, Short and Clear!!

Mkuu mimi sio shabiki wa cdm na wala sipingi hoja yako kwasababu zito kweli ana uwezo ukilinganisha na hao wengine.
Ila, naomba usome tena bandiko lako, sidhani kama linaendana na kazi ulosema unafanya au akili unazo ringia.
Liko too low (mtazamo wangu). Jaribu kuliedit ili lisidhalilishe fani yako.
Ni mtazamo tu, ukiona haukufai potezea.
 
Umedanganya mkuu si kweli kuwa hao hawana cha kufanya nje ya siasa kwani walisha weza kuishi kabra hata ya siasa mwalimu gani wa chuo kikuu huna hata marejeo ya wanasiasa wa hapa nchini ususani ulio wataja hapo juu.....

Ina maana hujui Dr,slaa alikuwa anafanya kazi gani? na hujui Tundu Lissu ana fani gani na ujuhi J.J Mnyika ana elimu gani kwa kifupi ww ungesoma na mnyika usingeweza kupata hata nusu ya mnyika. Hao wote si vilaza kama unavyofikilia wewe hata huyo Zitto kwa Mnyika hamuwezi rudi darasani kamalizie kipindi chako.
 
mleta mada utakuwa name matatizo.hivi nani kakuuliza kazi yako mpaka uanze kutudanganya kwa kazi ambayo hats baada ya miaka kumi back hutakuwa name uwezo wa kufanya.nasema hivi kwa sababu mambo uliyotuletea hapa yanaonyesha elimu yako si zaidi ya lasaba.hi yo utahitaji miaka mengine mingi sana kuweza kufanya hiyo kazi uliyotudanganya nayo.BTW kwa vigezo vyako,hawa wafuatao wanaweza kufanya kazi gani nje ya siasa?Rameck Airo,Livingston Lusinde,prof maji malefu?
 
Mkuu me nazungumzia versitility ya hawa wanaojiona wao hawakosei, miungu watu! Mtu fit in thinking hawezi chukia kupingwa hata kidogo. Mfano mimi nasoma majibu ya wadau kwenye hii post kuna mambo mengi tu najifunza, na siwezi kukuchukia kwa ulichoandika
Am sorry to say that kama hii ndo argument ya mwalimu wa chuo [if at all you are] then taifa lipo kwenye maangamizi, na ndo maana Mh. Msigwa alisema siku hizi akisimama kuongea mwalimu wa chuo kikuu anakuwa hana tofauti na aliyeishia darasa la pili, a very poor argument from you and am disappointed hopefully upo OUT, ina maana taifa hili wenye nazo ni walimu wa chuo tu?na je kama kufundisha chuo kuna maslahi bora lecturers wanafuata nn kwenye siasa?kuwa na resource siyo lazima shule kubwa kihivyo, siku hizi unakuta mtu darasani hajiwezi mpeleke kwenye hata biashara ya kuuza ubuyu anakuwa mjasiria mali mzuri na kutengeneza mtaji wa kufanya wonders, kumshinda hata mwalimu wa chuo aliyepangishiwa nyumba, umeme na maji analipiwa, anapewa mshahara mnono na allowances mwisho wa siku anakuwa complete failure asiye hata na nyumba ya kusingiziwa, so jipange maana ualimu mwingine unapatikana kwa chabo na vibomu, hence usijidhanie umesimama kumbe ushaanguka muda tu.
 
Kama huna ya kuongea ni afadhali ukae kimya kama walimu wa chuo nduyo kama wewe basi hukuna vyuo tena walimu wanaoongee upuuzi kama wewe ni janga la kitaifa
 
Mkuu anzisha thread yako kuwaongelea hao uliowataja, tuwazungumzie hao niliowataja
mleta mada utakuwa name matatizo.hivi nani kakuuliza kazi yako mpaka uanze kutudanganya kwa kazi ambayo hats baada ya miaka kumi back hutakuwa name uwezo wa kufanya.nasema hivi kwa sababu mambo uliyotuletea hapa yanaonyesha elimu yako si zaidi ya lasaba.hi yo utahitaji miaka mengine mingi sana kuweza kufanya hiyo kazi uliyotudanganya nayo.BTW kwa vigezo vyako,hawa wafuatao wanaweza kufanya kazi gani nje ya siasa?Rameck Airo,Livingston Lusinde,prof maji malefu?
 
Mwalimu wa Chuo Kikuu? Au ulimaanisha mwalimu anayeishi maeneo ya karibu na Chuo Kikuu?
 
Yaani ukiongea kinyume juu ya Mbowe na Slaa lazima utukanwe
Kama huna ya kuongea ni afadhali ukae kimya kama walimu wa chuo nduyo kama wewe basi hukuna vyuo tena walimu wanaoongee upuuzi kama wewe ni janga la kitaifa
 
Poa kiongozi nimekusoma, nimeandika nikiwa in hurry kidogo sorry
Mkuu mimi sio shabiki wa cdm na wala sipingi hoja yako kwasababu zito kweli ana uwezo ukilinganisha na hao wengine.
Ila, naomba usome tena bandiko lako, sidhani kama linaendana na kazi ulosema unafanya au akili unazo ringia.
Liko too low (mtazamo wangu). Jaribu kuliedit ili lisidhalilishe fani yako.
Ni mtazamo tu, ukiona haukufai potezea.
 
Dr. Slaa ni DR wa Macho pia na ni Boss wa hospital kubwa sana mbayo jina limenitoka.

Lissu ni Wakili ambaye hata kwenye kesi yake, alijitetea mwenyewe na pia kumtetea Lema na cha zaidi ni kuwa Kigwangalla wakati akisoma Chuoni, yeye na wenzake walifukuzwa na Lissu akawatetea BURE.

Mbowe hadi leo ana biashara zake.

Mnyika anaweza kwenda kumalizia chuo masomo yake.

SASA wewe CHUO KIKUU kikifungwa, utafanya kazi gani? Nyani kweli haoni Kipengule chake.
 
Upumbavu mwingine huu hapa. Najua kuna mataahira watakuja kuutukuza

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Walim uchwara hakika ndio maana ziro inabidi ziondolewe. Mtu asiyeweza kujua hata maana ya mfumo n i nini. Mwalimu mpuuzi kabisa. Wasira. Lukuvi. Jk. Pinda. Wakuu wa wilaya na mikoa. Maafisa wa ccm wilayabna mikoa hadi mabalozi unawaweka wap?
 
Ulishawahi kujiuliza baada ya Slaa kutoka upadri na kabla ya kuingia siasa alikuwa akijihusisha na nini? Au unataka kutuambia kuwa alipoacha upadri aliingia kwenye siasa, yaani siasa ndo ilikuwa kazi yake ya kwanza toka upadri? Tafadhali tafuta kwanza hilo kisha tufafanulie hapa jamvini.
 
Back
Top Bottom