KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Huyu dogo ana roho ngumu kama ya paka!
Kiburi, dharau, kujiona yuko ndani ya usalama wa taifa, kwamba ccm wanamtegemea kuwanyamazisha wanaoikosoa.
Huyu dogo ana roho ngumu kama ya paka!
Kamati ya wabunge wa CCM imeazimia kuwa waziri wa ulinzi, mambo ya ndani, mali asili na mifugo wajiuzuru mara moja ili kumuokoa PM PINDA
Ni kweli baada ya mapumziko ya chakula cha mchana,wabunge wa CCM walianza kulaumiana sana na kumlaumu kwa chinichini Mh.Lembeli na Kangi Lugola kuwa wanamshupalia sana waziri mkuu.
Lawama zinaenda kwa Mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na Utalii ndugu LEMBELI kwamba ni kwa nini ameileta report hiyo bungeni badala ya kwenye Chama??kama angeileta ktk chama maanake aibu hii ingemalizwa bila kuipaka matope serikali ya CCM.
Wabunge wa CCM wameadhimia kumlinda Pinda kwa ghalama yoyote asijiudhulu,na badala yake ktk michango yao ya jioni watachangia zaidi kwa mawaziri wanne kujiudhuru na si Waziri Mkuu,mpaka mchana huu tayari kumetokea mpasuko mkubwa,wapo ndani ya CCM wanaoona kujidhuru kwa Waziri Mkuu itakuwa ni sifa mbovu kwa serikali na chama chao..nguvu nyingi ni kumlinda Pinda na kuwatoa kafara wengine.
Wabunge wa CCM mpaka sasa wanarudi mjengoni kupunguza makali ya Lugola na Report ya Lembeli...
Kamati ya wabunge wa CCM imeazimia kuwa waziri wa ulinzi, mambo ya ndani, mali asili na mifugo wajiuzuru mara moja ili kumuokoa PM PINDA
Hili ndo tatizo la watu wengi. Yaani mtu hata kama hatekelezi majukumu yake ipasavyo eti anafaa tu kwa sababu hajilimbikizii mali.Mimi naona kwa mawazo yangu hawa mawaziri watatu waondoke ili kumlinda PM na pia busara za huyu mzee bado tunazihitaji sana mana ukimtoa sijui kama utampata wapi waziri mkuu ambaye hataki kujilimbikizia mali Tanzania hii.Bora amalize mda wake.
wapigwe chini wote!
hakatwi mtu hapa!
Yeye aachie ngazi tu
Huyu dogo ana roho ngumu kama ya paka!