Mawaziri wanne kujiuzuru

Ni kweli baada ya mapumziko ya chakula cha mchana,wabunge wa CCM walianza kulaumiana sana na kumlaumu kwa chinichini Mh.Lembeli na Kangi Lugola kuwa ”wanamshupalia“ sana waziri mkuu.
Lawama zinaenda kwa Mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na Utalii ndugu LEMBELI kwamba ni kwa nini ameileta report hiyo bungeni badala ya kwenye Chama??kama angeileta ktk chama maanake aibu hii ingemalizwa bila kuipaka matope serikali ya CCM.
Wabunge wa CCM wameadhimia kumlinda Pinda kwa ghalama yoyote asijiudhulu,na badala yake ktk michango yao ya jioni watachangia zaidi kwa mawaziri wanne kujiudhuru na si Waziri Mkuu,mpaka mchana huu tayari kumetokea mpasuko mkubwa,wapo ndani ya CCM wanaoona kujidhuru kwa Waziri Mkuu itakuwa ni sifa mbovu kwa serikali na chama chao..nguvu nyingi ni kumlinda Pinda na kuwatoa kafara wengine.
Wabunge wa CCM mpaka sasa wanarudi mjengoni kupunguza makali ya Lugola na Report ya Lembeli...



Maiti hailindwi, hukumu yake kuzikwa tu
 
Kamati ya wabunge wa CCM imeazimia kuwa waziri wa ulinzi, mambo ya ndani, mali asili na mifugo wajiuzuru mara moja ili kumuokoa PM PINDA

Ninavyoona wakijadiri unayosema si mapendekezo ya Kamati. Ni waziri wa mifugo tu ndio ameambiwa ajitafakari na ajipime. Na kuna mbunge kamtetea kwamba katika ripoti nzima hakuna sehemu inayomtuhumu moja kwa moja Kama ilivyo kwa wizara ya maliasili, ulinzi na mambo ya ndani, ambazo hata hivyo mawaziti wake hawakuguswa kwenye mapendekezo.
 
:mad: Mimi naona kwa mawazo yangu hawa mawaziri watatu waondoke ili kumlinda PM na pia busara za huyu mzee bado tunazihitaji sana mana ukimtoa sijui kama utampata wapi waziri mkuu ambaye hataki kujilimbikizia mali Tanzania hii.Bora amalize mda wake.
Hili ndo tatizo la watu wengi. Yaani mtu hata kama hatekelezi majukumu yake ipasavyo eti anafaa tu kwa sababu hajilimbikizii mali.

Bora fisadi anayewajibika kuliko mtu kana pinda
 
Labda sio bunge la TZ chini ya hawa nnaowajua mimi hapo wanavuta kasi muda upotee wakapige bia na nyoma choma maeneo...hawana muda wa kuwajibika km Pinda kuachia ngazi tusahau
 
Huyu dogo ana roho ngumu kama ya paka!

Huyu Mburula eti nae anataka kuwa RAIS!!! He is corrupt to the core; ile nyumba ya umoja wa vijana wa magamba amekula fedha nyingi sana toka kwa Subash Patel, hivi sasa yeye ndio anayemlinda Kapuya asikamatwe kuhusiana na kesi ya kubaka!!! Hafai kabisa kuwa kiongozi kwani hata elimu yake ni ya kuunga unga!!!
 
Back
Top Bottom