Recent content by mussa said

  1. mussa said

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    tusitiane presha bhana
  2. mussa said

    Nimesikitishwa wakati ITV wanamuaga Dr. Mvungi TBC1 wanaonesha Tamthilia ya Kichina!

    Umeskitishwa na hiyo!mbona wakat skarget inazama zenji watu wanaangalia miss usiku na ule ulikuw msiba wa taifa?
  3. mussa said

    Wanaume vijana 20's-35 wanaboa sana!

    Wew hujakutana na vijana,hao "dad I'm going"mazezeta njoo kwetu "watoto wa vikopo" upate jibu lako kama utaongea tena mapyoro yako.
  4. mussa said

    Job Ndugai Umetukatisha Tamaa

    Yeye nikiongozi ila anashindwa kufuata zile kanuni za uongozi hapaswi kufanya maamuzi kama yale ambayo anajua kabisa yatakuw na negative feedback kama yale hakupaswa kutoa amri kama ile na kitu cha kujiuliza kwanin akiwa yeye tu ndo vurugu zinatimuka?
  5. mussa said

    Vita ya Uganda sawa.....Rwanda hapana...Kagera tunasema hapana

    Its true kwamba vita sio nzuri hata mimi sikubalian nalo ila rais anapaswa kuwa makini katka maamuz juu ya hili,maana siku zoye anaemaliza huwa anaonekana sie alienza!
Back
Top Bottom