Wanaume vijana 20's-35 wanaboa sana!

Wanaume vijana 20's-35 wanaboa sana!

Zahra tutake radhi. Wewe umekutana na wachovu 3 basi umeshaamua kutuweka wote katika kundi hilo. Three rascals can't put all of us in a class with a bad name. Kuna watu wanasimamia utaomba poo. Tafadhali binti futa kauli.
Mijana inapiga ishu ile mbaya ila tatizo experience tuuuuu
 
ahahaahhahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhahahahahhahahahhahahhaha
nilikuwa sijacheka toka asubuhi!
kwahiyo Zahra White unataka kusema vijana waendelee tu kupiga supra na suruali za kijani wazee wa njenje ndo mpango mzima!
ahahahhaha wapi dogo langu la toka enzi za mwalimu Madame B

Nipo dada, si unajua dripu ziliugandisha ubongo wangu kwa muda?
Ila kiukweli hivi vi akina-Timbulo, vi-Diamond, vi-HBaba blahblah nyiingi...na ukifika navyo kitandani hakuna kitu.
Kwanza haviongi, vibahili, ndio maana sie tukikamatwa na minyege, breki ya kwanza ni kwa tambi la njenje langu,bonge la bwana.
Lazima anikatikie mauno ili asiachwe na mie mtoto wa mjini...atauzia sura wapi,siku ya msiba!
Vijana tumewachoka kwa kweli.
Kutwa wanajishaua kunywa chuzi la pweza.
Wameshindwa mchana na taa ya Mungu...wataweza usiku na mwanga wa mzungu?
 
Last edited by a moderator:
Ngoja niwape vijana maujuzi: demu wako mwambie apandie mzigo ajipimie halafu apigeeeeeee utamuona kila baada ya dakika tatu au nne anatoka povu na analala kifuani liroho likidunda kama linataka kunyofoka; usimwachie akapumzika zaidi ya sekunde sitini mrudishe kazini mwambie piga mzigo bibie manake mda huo mpingo bado umeenyoka kama unataka kupaa. Akirudi kazini utamuona kila baada ya dakika mbili au tatu analipuka na kujituliza kifuani akiwa hoi bin taabani ukiona kaishiwa nguvu kabisa geuza weka chini chapa mzigo fasta nawewe ushushe mzigo. Hapo kama kazimia mwagia ndoo ya maji.
 
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha research noma...........
 
Nipo dada, si unajua dripu ziliugandisha ubongo wangu kwa muda?
Ila kiukweli hivi vi akina-Timbulo, vi-Diamond, vi-HBaba blahblah nyiingi...na ukifika navyo kitandani hakuna kitu.
Kwanza haviongi, vibahili, ndio maana sie tukikamatwa na minyege, breki ya kwanza ni kwa tambi la njenje langu,bonge la bwana.
Lazima anikatikie mauno ili asiachwe na mie mtoto wa mjini...atauzia sura wapi,siku ya msiba!
Vijana tumewachoka kwa kweli.
Kutwa wanajishaua kunywa chuzi la pweza.
Wameshindwa mchana na taa ya Mungu...wataweza usiku na mwanga wa mzungu?

ahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhahhahahhahahhaha KWA HIYO UNATAKA KUSEMA
NGOMA YA KITOTO HAIKESHI SIO!
NYANI MZEE KARUKA MISHALE MINGI
SUFURIA YENYE MASIZI NDO INAUJUA MKAA
NA UKOMAVU WA KAMBALE SIO SHARUBU PAJINI ILA KASI YAKE KWENYE TOPE
aahhahahahhahahhahaha mwe!
niitie Kaizer na Asprin
 
Last edited by a moderator:
Mtani hili jisredi limetupiwamo siku muafaka...

ahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhahhahahhahahhaha KWA HIYO UNATAKA KUSEMA
NGOMA YA KITOTO HAIKESHI SIO!
NYANI MZEE KARUKA MISHALE MINGI
SUFURIA YENYE MASIZI NDO INAUJUA MKAA
NA UKOMAVU WA KAMBALE SIO SHARUBU PAJINI ILA KASI YAKE KWENYE TOPE
aahhahahahhahahhahaha mwe!
niitie Kaizer na Asprin
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana sisi Wasukuma chips yai kwetu tunakula kama matunda tu...
chips yai ni sawa kula mboga tupu.......yai mboga na kiazi mviringo navyo viungo tu vya mboga .....kula chips yai ni sawa na kula mboga tupu
 
Nimekumiss Madame B ulikosekana wewe kwenye hili jisredi

hata nami niliwamiss sana mwanawane.
Naona hapa jinsi vijana wanavyovutana pumzi na madada ya town.
Mie ndio maana sitaki kabisa nyeti yangu ivurugwe na hawa serengeti boy, wataipiga kama show tu wala si kwa starehe.
Mambo yote ni kwa akina Ngombale Mwilu's type....game yao si mchezo.
 
khaa...mbona kama mateso ya mateka wa vita...!!!

Ngoja niwape vijana maujuzi: demu wako mwambie apandie mzigo ajipimie halafu apigeeeeeee utamuona kila baada ya dakika tatu au nne anatoka povu na analala kifuani liroho likidunda kama linataka kunyofoka; usimwachie akapumzika zaidi ya sekunde sitini mrudishe kazini mwambie piga mzigo bibie manake mda huo mpingo bado umeenyoka kama unataka kupaa. Akirudi kazini utamuona kila baada ya dakika mbili au tatu analipuka na kujituliza kifuani akiwa hoi bin taabani ukiona kaishiwa nguvu kabisa geuza weka chini chapa mzigo fasta nawewe ushushe mzigo. Hapo kama kazimia mwagia ndoo ya maji.
 
Mtani hili jisredi limetupiwamo siku muafaka...

ahahahhahahhahahah yani kuliko maelezo mtani!siku kama hii mida kama hii uwe na uelekeo wa nyumbani kwetu ukakae kwenye kijiwe chetu kile af uwe na uhakika wa masizi ya sufuriani!
ahahahahhahahaha uuuwih bora jana nilivolichunia hili sredi!
 
hata nami niliwamiss sana mwanawane.
Naona hapa jinsi vijana wanavyovutana pumzi na madada ya town.
Mie ndio maana sitaki kabisa nyeti yangu ivurugwe na hawa serengeti boy, wataipiga kama show tu wala si kwa starehe.
Mambo yote ni kwa akina Ngombale Mwilu's type....game yao si mchezo.
Madame B wanashikashika tu hawali wakashiba...
 
Last edited by a moderator:
ahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhahhahahhahahhaha KWA HIYO UNATAKA KUSEMA
NGOMA YA KITOTO HAIKESHI SIO!
NYANI MZEE KARUKA MISHALE MINGI
SUFURIA YENYE MASIZI NDO INAUJUA MKAA
NA UKOMAVU WA KAMBALE SIO SHARUBU PAJINI ILA KASI YAKE KWENYE TOPE
aahhahahahhahahhahaha mwe!
niitie Kaizer na Asprin

Hapo kuna kikongwe na mjukuu...ngoja waje uone hyo mwamba ngoma yake.
 
Last edited by a moderator:
Wew hujakutana na vijana,hao "dad I'm going"mazezeta njoo kwetu "watoto wa vikopo" upate jibu lako kama utaongea tena mapyoro yako.
 
Ngoja niwape vijana maujuzi: demu wako mwambie apandie mzigo ajipimie halafu apigeeeeeee utamuona kila baada ya dakika tatu au nne anatoka povu na analala kifuani liroho likidunda kama linataka kunyofoka; usimwachie akapumzika zaidi ya sekunde sitini mrudishe kazini mwambie piga mzigo bibie manake mda huo mpingo bado umeenyoka kama unataka kupaa. Akirudi kazini utamuona kila baada ya dakika mbili au tatu analipuka na kujituliza kifuani akiwa hoi bin taabani ukiona kaishiwa nguvu kabisa geuza weka chini chapa mzigo fasta nawewe ushushe mzigo. Hapo kama kazimia mwagia ndoo ya maji.
ahahahahhahahha tatizo lenu ndo hilo mnaamini kila kazi inataka nguvu,ahahahahhha KWANI ZEGE LA GHOROFANI hili?
 
Back
Top Bottom