Habari wadau wa JF
Naomba kuuliza kwa mwenye uzoefu eti hizi kampuni au app za mikopo Mtandaoni zina uhalisia kweli wa kutoa mikopo, kuhusu usajili wao, na kampuni au app ya mkopo ipo vizuri na haina longolongo . ???
Habari,
Maabara ya Afya inauzwa .
Imekamilika kila kitu na tayari ina kodi ya miaka 6. Sio miezi ni miaka.
Location: DSM
Ipo SAKU- CHAMAZI
Ipo stand kabisa ukiangalia picha vizur utaona, haina changamoto yoyote. Anaeuza ni kwa ajili ya kitatua shida zake.
Kwa mwenye uhitaji
0652005254
0621451621
Ikiwa na vifaa vyake vyote... Kwa maana kila kitu ulichokiona hapo na utavyovikuta ni m11 we ukinunua ni kuanza kazi tu.
Kama una vifaa vyako bei ni mil 7.
Maana yake kuna vitu vitapungua
Habari'
KWA WAWEKEZAJI, MAABARA YA AFYA/ MEDICAL LABORATORY
Inauzwa.
Imekamilika kila kitu.
Umeme wa Tanesco na
sola poa ipo
Haina shida yoyote.
Mil.7 kwa mil. 11.5
Tayari ina kodi ya Miaka 6.
Location Dar es Salaam .
Saku-Chamazi (Mbagala)
Kwa mwenye uhitaji.. Karibu.
Contacts...
Inategemea unataka kua nani, kozi zote ni nzuri.
Lab science &technology ina uwanja mpana . Wa kwenye kujiendeleza Bachelor. Sehem unazoweza kwenda kufanya kazi ni kama Maabara za viwandani, maabara za mashuleni, maabara za kwenye mataasisi, NB. haitokuwezesha kufanya kazi hospital incase kama...
Majina ya selected applicants waliomba vyuo round (degree) ya pili mwaka wa masomo 2021/2022 yanaweza yanatoka lini kutokana na uzoefu wenu. ?
KCMUCo na CUHAS , hasa ndivyo vyuo nnavyovikusudia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.