Mkuu pitia mikataba ya DP WORLD na hizo nchi za Western Europe halafu uje utazame na nchi za kiafrika hasa huu wetu halafu jiulize kwa nini wewe usiitwe chawa?
dronedrake Kinjekitile Jr Antonnia K11 taamu kawombe Extrovert Ngulii vise Restless Hustler smart11@Mwanamena Evelyn Salt
Sent from my CPH2385 using JamiiForums mobile app
1960:VITA ZA KUTAFUTA NGUVU, UMAFIA NA MIKONO ITENDAYO MIUJIZA.
Episode ya 05
Nimerudi.
Kumbukizi-Tupo wiki moja kabla ya usiku wa dhahma kubwa!Kwa Mr.Robert Kimani.
Sometimes 1998
Usiku huu Boss wa nchi(wa 1998), Boss wa zamani(Alikuwa waziri wa fedha 1998) na Boss wa sasa(Mtumishi adhimu...
Wakuu naomba mniwie radhi kidogo, nilikua kwenye mitihani ya kumaliza semista.Nitaweka episode mfululizo niimalize haraka.
Sent from my CPH2385 using JamiiForums mobile app
Hakuna kazi ngumu duniani kama kutetea udhaifu, inahitaji kiwango f'lani cha upumbavu na kujitoa ufahamu ili ueleweke kwa waliochagua kuamini na kuuelewa upumbavu wako!Mungu aingilie kati.
Kuna mtu amepewa kazi ya kuwa na mdomo wa moto kutetea waramba nyayo wenye matumbo yasiyoshiba!Amechagua...
We km unapewa hela kutetea ni wewe km wangekua na Hela kiasi cha kugawa vocha kwa kila mtu bila shaka hiyo mikopo unayodai walikopa kisa Wana uhakika wa kupiga pesa bandarini, bila shaka wangekua wanazitumia kulipa hayo madeni na sio kugawia watu.
Andiko liko bias na linaonyesha unakubaliana na huo mkataba, eti mtu ajiue kisa alikopa Hela wapi akajenge nyumba?Unafichaficha nini si unyooshe maelezo tu.
Sema tu makundi ya watakaopoteza maisha kisa sakata la Bandari ni Hawa.
1.Wabunge waliohongwa walipokua Dubai.(huko mbele I Kuna kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.