Acha uongo wangine wangetamani hata nafasi ya kupeana naye mkono sembuse kuolewa naye, jamani tuache unafiki hizi nafasi ni za wachache hakuna mwanamke bongo hii angekataa kuolewa na mengi
Tatizo LA hii serikali kila waziri anajiamulia atakavyo kama anaendesha familia yake, hata kama hajui lolote kuhusu swala hilo pia wataalamu tulionao hawajiamini ni akina ndio mzee, mfano upande magogo waziri kigwangala ameinyima serikali hela
Nyingi za kigeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi cha nyuma alikuwepo mzee mmoja sumbawanga akiitwa sultani alikuwa muwindaji mzuri wa mamba na muuzaji wa nyama ya mambo pia jaribu kuulizia kwasababu alikuwa anafuga mamba pia, mm mwenyewe nimewahi kutumia nyama hiyo ni tamu asikwambia mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
HuyoJoseph sokoine ni kwa mke mkubwa, amesoma nchi za kijamaa anaelimu ya kutosha na anamaisha ya kawaida na sio masikini amewahi kuwa balozi pia nimtu wa watu hapendi kujionyesha yy Nina
Mkuu siku hizi kuna dalaja LA umoja watu hawapitii tena msimba wanavukia moeda moja kwa moja kupitia darajani, mambo ya viboti kama umekalia maji walishaacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.