Recent content by Muscovy

  1. M

    Mrejesho safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    Hapa fremu namba karb na namba nne wanauza sana maparachichi
  2. M

    Tangazo la ajira za muda tume huru ya uchaguzi

    Kama uko dsm pagumu kigoma ndan ndan had Jana kata walikuwa waombaji 7
  3. M

    Mrejesho safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    Mwez mei narud huko mkuu mavuno maharage muda umewadia
  4. M

    Mrejesho safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    Mpunga kule mzur wa kununua Kwa watu ...kilo 50 bei 25000
  5. M

    DOKEZO Mabosi wa Benki ya CRDB Tawi la Gongo la Mboto someni kero hii ya wafanyakazi wenu

    Msiba uko nida kawe pale dada Moja Ana nata sana hasalimii wateja alikuta watu wako nje ya mlango yeye kaja kuchelewa kapita hakuwapa salaam raia wali maind kaja kuchelewa masaa 2 watu wako pale kaja late kaanza chat na kusubir chai
  6. M

    Mrejesho safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    Niliko Mimi eneo Bure Wana kijiji walitoa kaZ fulan nilikuwa kule wakatoa Bure kokodi elf 50 Kwa heka mavuno wew tu nguvu ka Iko na mvua zime changanya
  7. M

    Mrejesho safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    Karibu mkuuu mwez Tano mavuno ya maharage na mchele mei Mungu akipenda nitaenda huko tena Kwa kuvuna
  8. M

    Niko Kigoma, kweli sura siyo roho

    Kwa kina mwijaku center yao bush sana mambo ya ulozi mengi Sanaa ukipanda hiace za kwenda Uvinza ikifika kazuramimba gari huwa inakaaa san
  9. M

    Mrejesho safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    Yes buku mkuu ...pumba 300 debe na maharage kopo kubwa mwana ukome buku muda huuu bei imeanza kupanda debe 25000 pesa Iko mizigo unaweka stick tu
  10. M

    Mrejesho safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    Thanks mkuu ...kilimo Cha kule haswa maharage na mahindi haya tegemei maji ya kisima maybe ulime nyanya ... maharage miez 3 Yana kuwa tayari kuvunwa ....Kwa ushauri wangu pesa unayo kule uje udalalie mazao mfano mchele kg 50 bei 25000 (elf ishirin na Tano) utalipa buku 3 ya kubebea kwenye punda...
  11. M

    Pasaka unailia kiwanja gani?

    Nilikuwa diz pub hapo usiku wa jana
Back
Top Bottom