Recent content by Musa Sudai

  1. M

    Tumetoka huku...

    Hii hapa Enjoy
  2. M

    Tumetoka huku...

  3. M

    Tumetoka huku...

  4. M

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Jamani wimbo wa Kiama wa Daz Nundaz ft Komputer mwenye nao please
  5. M

    Tanzania hii yote hakuna fundi simu wala compyuta!

    Tanzania kuna mafundi bwana asikwambie mtu.... Ishu ya kubwa ya fundi ni kutafuta tatizo ila kitu kupona ni kazi ya mteja kama ana mudu gharama za replacement parts au aachane nayo. Sema wengi mmekariri Kariakoo kwa wabadirisha Vioo, mic, speaker na Charging port... Sema uelekezwe kama unahitaji...
  6. M

    Bongo Record Vs Mj-Record:Kati ya P-Funk Majani na Master Jay nani alitengeneza ngoma kali zaidi?

    M Japo nilichelewa ila huo wimbo Production ya Miikka Aleksanteri Mwamba
  7. M

    MSAADA: Nakojoa kitandani licha ya kuoa

    Fanya Hivi tafuta mahindi yaliyotoa ndevu chukua zile ndevu weka kwenye maji yawe ya yaliopoa au ya uvuguvugu baada ya hapo kunywa siku mbili au Tatu then uje unishukuru 0654467798
  8. M

    Zima Moto Updates

    updates za Konstebo zimamoto mwenye taarifa jamani anisaidi herufi M kama unayo.
  9. M

    Tamthilia za nje.

    mbona tamthia nyingi za nje kwetu zinachelewa kuja. Mf: ni tamthilia ya ki Mexico inayorushwa na kituo cha ITV, LA FUERZA DEL DESTINY (the power of Destiny) ilitoka mwaka 2011 ila si tunaicheck leo 2014 nini tatizo?
  10. M

    Chupi yako unaanika wapi.................?

    weka kitu nje kikauke vizuri na kuua bakteria
Back
Top Bottom