Recent content by Murrah

  1. M

    Eti Mgeni kaja kukutembelea na Mkao wa ajabu ajabu

    tunatafutiana fitna lazma mtu asisimuke
  2. M

    Kifimbo cha Ndg. Edward Lowassa

    Yeye ni fungu la kutoingia ikulu
  3. M

    Obama kwa swagga bwana, ni noooooma......

    Baraka ana Passive aggression
  4. M

    Balozi za hizi nchi ziko maeneo gan ?

    Netherland UMOJA HOUSE karibu na international house gaden avenue na mirambo, Ireland toure drive karibu na golden tulip hotel, Tawain Tanzania haitambui tawain kama nchi na haina ubalozi tanzanian itakuwa nao Malawi. Korea Tunisia Road Kinondoni. Czech nenda Kenya
  5. M

    CHADEMA UK yazidi kuvurugika, M/kiti na Katibu vijana na Katibu muenezi waamua kumfuata Lukosi CCM

    Bunch of lowlife who want cheap pr hawana lolote la maana kwa TZ
  6. M

    Musoma: CHADEMA yamponza mwenyekiti CCM, polisi watumika!

    Sishangai Bulembo ni kiazi toka zamani hajui chochote,, jiulizeni hawa ndio top cream CCM tutafika salama kweli. Na polisi msifuate amri za wapumbavu manaonekana wajinga fulana kuweni weredi
  7. M

    Nini msimamo wa wa Tz BARa kuhusu Muungano uliopo?

    Kwa muda mchache uchumi baada ya Mapinduzi serikali ya mapinduzi ya Zanzibar haikuwa na benk account sijui kama unalijua hilo
  8. M

    Rais Kikwete umechakachua NISHANI .... Bi kidude ni Mzanzibar

    Tanganyika kama jina halipo lakin dola ya Tanganyika ipo kuanzia mwaka 1961, UN, AU and other Multilateral Organisation iko well represented
  9. M

    Rais Kikwete umechakachua NISHANI .... Bi kidude ni Mzanzibar

    Kwenye historia hakuna siku ya uhuru ya Zanzibar kuna mapinduzi chini ya Tito Okella na Miezi mitatu baadaye muugano wa Tanganyika na Zanzibar. Chunguza na ndio maana huweza kuiskia uhuru wa Zanzibar, Mpaka leo ZNZ sio Dola na huwezi kuwa huru kama wewe sio Dola
  10. M

    Nini msimamo wa wa Tz BARa kuhusu Muungano uliopo?

    Ndani ya muugano hakuna Znz sio uhuru nje ya muugano zanzibar in sawa na Burundi na member wa east Africa. Wazanzibar mnatakiwa kuwa clear manchotaka, kuna mkanganyiko mwingi kuhusu demand zenu, statehood, muugano wa mkataba na wengine wanataka formula ya sasa Jipangeni vizuri viginevyo this is...
  11. M

    Hoja ya "Muungano wa Mkataba" ni Muflisi!

    Watanganyika wenzangu mura Mwanakijiji wakati umefika kuwaacha wanzanzibar waende zao mbona nchi yetu bado kubwa sana ile hali Zanzibar ni overpopulated island na threat from raising sea level watamulia majini, watu wanavikimbia visiwa pacific, jambo la kusitikisha kwamba wanaotaka uhuru na...
  12. M

    Rais Kikwete umechakachua NISHANI .... Bi kidude ni Mzanzibar

    Siku ya uhuru iko moja tu Dec 9 ile ya Zanzibar sio ya uhuru ni ya Mapinduzi Zanzibar haijwahi kuwa huru kama Taifa, JK yuko sahihi kabisa Duniani hakuna Taifa lijulikanalo kama Zanzibari. Passport ya Bibi Kidude ya Tanzania
  13. M

    Nini msimamo wa wa Tz BARa kuhusu Muungano uliopo?

    Position ya Watanganyika wengi wakati umefika Zanzibar upumue, ila tu baada ya muugano kuvunjika basi, wakubali majukumu kama nchi na wananchi wao, kuja dar mtabeba passport na mtahitaji kibali cha makazi au kufanya kazi ndani ya jamhuri ya Tanganyika bei yake ni dola 2000. Na sisi pia...
  14. M

    This is my future car...Whats yours?

    TRA watakutoza kodi ya great grea great grands parents wako ili tu ushindwa wajiuzie. Great to dream
  15. M

    Ooh gosh ......................what a pair of ............

    fake silcon tits no good for you
Back
Top Bottom