huu mkanganyiko lazima uondoke, atuwezi kuisha mazingira machafu kiasi hiki,
Tuna sherehe ya Muungano na tahere zinajulikana, kisha tuna Tanganyika, kama kuna watu
wanaona kusema 9/12/1961 wa TANGANYIKA basi sherehe yenyewe iondolewe,
Nini maana ya kufanya sherehe ya kitu tunachokiogopa, tunafikia hatua tunachanganya hata majina ya nishani
Alieanzisha sherehe hizi za Uhuru wa Tanzania ni baba enu wa Taifa! sasa akienziwa kuna shida gani?