Sifa ya Serikali corrupt, sio maneno yangu nimecopy and paste kwa mwl mzee wetu Julius Nyerere Enzi za uhai wake but still Bado anaishi hata sas
1: haikusanyi Kodi
2: inamzigo wa madeni (i.e deni la taifa)
3: inatumwa na wenye mali
4: inawafanyia kazi wenye mali
5: inafukuzana na vijitu...
Kama ni kwa maslahi ya watanzania Sio vibaya Mkuu kumpoint mtu May be ingekuwa kwa maslahi yake binafsi, sasa huyo Mzee anamaslahi Gani binafsi amesukumwa tu kusema sauti iliyo ndani ya watanzania wengi
Katika ndoa, tendo la ndoa sio hiari - ni msingi.
Tendo la ndoa linachukua nafasi ndogo sana katika maisha ya ndoa tena kilele chake Ndio huchukua muda mdogo Zaidi I think maximum it can take 30s, hivyo tendo la ndoa likiwa ndio msingi wa ndoa huo msingi utakuwa dhaifu Sana na dhoruba ikija...
Wewe ni mkuu kuliko dini yaani dini ipo chini yako (i.e wewe ulianza then dini ikafuata badae Sana )
Kwa lugha nyepesi dini haitakiwi kukuathiri wewe bali wewe ndio uithiri dini, wewe hutakiwi kuifuata dini bali dini ndiyo ikufuate wewe kwasababu kati yako na dini wewe ndiye Mkuu
MUNGU pekee ndiye awezaye kuleta ustaarabu kwa watu na Sio dini, ukiona MTU kastaarabika ujue ana hofu ya MUNGU.......i.e amekwenda mbele zaidi na kuipita dini na kukutana na muumba wake
Hakuna mtu wa dini ambaye ni mstaraabu hayupo
Kuna tofauti kubwa kati ya MUNGU na dini, dini ndiyo ilimpinga na kumkataa na kumuhukumu na kumsulubisha KRISTO
Cha kushangaza watu wengi wa dunia hi wanafuata dini hawana mpango na muumba wao
Hakuna jambo mbaya kama kula kula (urafi) katika Dunia hi, ukifanikiwa kushinda tamaa ya kula (urafi) utashinda yote juu ya dunia hi likiwemo hilo la kunenepa bila utaratibu
Anza kuwa na ratiba ya kufunga wewe na mke wako, hautoshinda hilo tu la kunenepa bila utaratibu Bali utashinda na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.