Tafadhali kwa yeyote anayejua au anao uzoefu wa gharama za uchimbaji wa visima naomba anielezee mchanganuo wake akijumuisha na gharama za uchunguzi (surveying) eneo nilipo ni Mbeya km 8 kabla ujafika Uyole barabara kuu ya kutokea Makambako. Vilevile anayejua makampuni ya uchimbaji visima...
Prof.Tumbo yupo vizuri sana hata alipomaliza Phd yake Marekani walimshawishi abakie kule ili wamtumie lakini kwasababu ya uzalendo wa Taifa lake hakamua kurudi, Hongera sana Prof. hakika unastahili kwa nafasi hiyo
Swala la uhakiki wa watumishi hewa serikalini ni zuri na faida kwa nchi maana hili tatizo limesababisha hasara ya muda mrefu, kwa maoni yangu ni vizuri uhakiki huu ukaendana na ukaguzi wa vyeti maana kama tutaendelea kubaki na watumishi ambao wapo kazini kweli na wameajiriwa lakini hawana sifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.