wakuu wetu wengi upenda kujihusisha na mambo mepesi ambayo ni level ya afsa mtendaji wa kata.haya ya level yao kama migogoro ya viwanja na miundombinu mibovu uyakwepa.wanapenda kujitokeza kwenye matukio ambayo yatawauza kwenye magazeti.Ndo tunaona issue ipo police lakin ata mkuu wa wilaya na...
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh
yaani kila mlengo wa dini unatumia kura ya hapana katika katiba kama siraha ya kuitisha serikali ifuate matashi yake.Kichekesho kinachokuja ni pale wote watakapo amasisha kura YA HAPANA arafu ikapita sijui ni mlengo gani wa dini utakua umeshinda.
ahahahaha...
Haki itendeke katika ili.isiwe ni mbwembwe za kisiasa.maana kwa uelewa wangu mdogo pesa ya mfuko wa jumbo haiwekwi kwenye acc bnafsi ya mbunge bali inawekwa kwenye acc ya halmashali hucka na kuna kamati hucka na wala sio pesa bnafsi ya mbunge.
umoja wa ukawa haukuja bahati mbaya .umetokana na makubariona ya vyama usika,mpaka wanaungauna walipitia changamoto zilizopo mbele yao.katika hili mi nadhani tuwape nafasi na muda mwisho wake utaonekana .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.