Sasa hapo! Kama Fluent English ipo basi nenda kilwa kuna kachukue vinyago vya mti wa mpingo wanauza bei chee tu! Nenda navyo huko zenji unaviweka kwenye kibegi kama vendor tu! Unavotafuta hilo jimama tembeza hizo vinyago upige USD zako! Na hilo jimama utakutana nalo tu
Lakini kuna swali fikirishi hapa!
Wewe usiyependa status je huwa unazitizama za nini kama huzipendelei?! Waache watu na uhuru wao wa kufanya kitu kinachompa furaha na amani hata kama wewe kwako unaona hakina faida yoyote!.
Kwahiyo umebaini mkaa unaenda wapi? Au unatumika katika matumizi ya wewe na yeye na hilo gunia la kilo ngapi mana isije kiroba cha kilo 25 unaita gunia
yani tumambo mambo simply simply kama huto ndio tunakukera?! Asa mafuta na mkaa vinateketea na wakati vinatumika kwa matumizi ya wewe na yeye sasa unashangaa nini?! Au anachota mkaa anapeleka kwao?! Bwana mdogo bado unaogopa majukumu wewe!
Kwahiyo unashindwa kunyosha shati vizuri unatoa michuzi leo kesho unafata pale mambo ya ndani kufata mkoba wako! Kuwa makini mkoba mpya unanukia pesa tupu! Kila unapopita unaacha harufu ya pesa… Kuna mambo mengi kwenye kuyatafuta maisha kila la kheri…
Anunue kiwanja rufiji hapo anapata kama hekari 5 hadi 10 barabarani halafu aendeee kutafuta hela zingine baada ya miaka mitano! Rufiji aisee! Nawakumbusha Rufiji ni Pwani! Mkoa mpya hapo pwani itakuwa shangwe! Wandengereko hawajastuka bado
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.