Polisi mnalitia aibu Taifa

Polisi mnalitia aibu Taifa

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,575
Reaction score
57,989
Hii barua ina makosa mengi mno ni aibu kwa taifa
20251211_101404.jpg
 
Kwa dunia ya Leo bado kingereza ni tatizo kweli hadi kufikia mtu kuandika ungrammatical English!?


Ikiwa hata Mimi Leo hii naweza andika content ya kichina au kijapani bila kuwa na uelewa wa lugha husika
 
Hii barua ina makosa mengi mno ni aibu kwa taifaView attachment 3514181


Mimi kwa kuwa nilisoma Sayansi naona barua iko sawa kabisa kwa sababu huwa tuna focus kwenye ujumbe uliokusudiwa na sio kwenye lugha/English
Hata hivyo kilicho hitaji marekebisho kidogo ni hiyo address na wala sio ujumbe....kwa hiyo ujumbe umefika.
Tuache kuwa wajuaji wakati English yenyewe hatuijui......pengine wanaokejeli ni wale waliosoma Kula Lala Faulu (KLF/HKL nk)
 
Mimi kwa kuwa nilisoma Sayansi naona barua iko sawa kabisa kwa sababu huwa tuna focus kwenye ujumbe uliokusudiwa na sio kwenye lugha/English
Hata hivyo kilicho hitaji marekebisho kidogo ni hiyo address na wala sio ujumbe....kwa hiyo ujumbe umefika.
Tuache kuwa wajuaji wakati English yenyewe hatuijui......pengine wanaokejeli ni wale waliosoma Kula Lala Faulu (KLF/HKL nk)
kama hatujui English je barua inalenga hakina nani?
 
kama hatujui English je barua inalenga hakina nani?

Barua iliyo kusudia waswahili ilitoka mapema kabisa kwa kiswahili.
Hii iliyo ambatanishwa hapa ililenga wale wanao tumia English na wameelewa vizuri na wala hapa kuwa na haja ya kuileta huku mtandaoni.....
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom