Kwa waliochaguliwa kozi ya Secretarial Studies and Administration mkihitaji msaada wowote kuhusu hiyo kozi, nitumieni namba zenu PM ili tuweze kuwasiliana na kupata msaada zaidi.
Chuo cha utumishi wa Umma kimetoa orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo hicho katika ngazi ya degree.
http://www.tpsc.go.tz/uploads/publications/en1566204048-SELECTED%20APPLICANTS%20ROUND%201.pdf
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza kuongeza muda wa kuomba mkopo kwa njia ya mtandao kwa siku saba hadi Ijumaa, Agosti 23, 2019 ili kuwapa fursa waombaji ambao hawajakamilisha maombi yao kutumia muda ulioongezwa kufanya hivyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Abdul-Razaq...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.