Bachelor Degree in Secretarial Studies and Public Administration

Bachelor Degree in Secretarial Studies and Public Administration

Ni kozi mpya kwahiyo hata kwenye soko la ajira miundo ya waajiri haijaitambua. Secretarial inahusu kazi zote za Katibu Mahsusi yaani PS (mchapaji wa barua na mpokezi wa wageni kwenye Ofisi ya Kiongozi) Public Admin inahusu utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu. Kwahiyo hiyo kozi imechanganya Mafunzo ya Ukondakta na Udereva humo humo kwenye soko la ajira utachagua kuwa Konda au Dereva.
Katibu muhtasi, nadhan
 
Ni kozi mpya kwahiyo hata kwenye soko la ajira miundo ya waajiri haijaitambua. Secretarial inahusu kazi zote za Katibu Mahsusi yaani PS (mchapaji wa barua na mpokezi wa wageni kwenye Ofisi ya Kiongozi) Public Admin inahusu utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu. Kwahiyo hiyo kozi imechanganya Mafunzo ya Ukondakta na Udereva humo humo kwenye soko la ajira utachagua kuwa Konda au Dereva.
umeelezea vizuri sana
 
Karibu Magogoni. Hii kozi ni mpya hapa Tanzania na inatolewa TPSC Cumpus ya Dar Es Salam tu kwa level ya Bachelor. Hakuna hata batch moja iliyomaliza, batch ya kwanza itamaliza mwaka wa masomo 2019/2020. Kozi hii inakuwezesha kuwa na skills zifuatazo; how to manage and administering office, writing in Shorthand and Hatimkato, public relations (public relations officer) and Protocol (protocol officer), contemporary secretarial skills (modern secretary hausiki na mambo ya reception), typist, how to manage conferences etc. Kwanza mwaka wangu wa kwanza tu tayari nimekuwa na hizo skills. Ukihitaji maelezo zaidi nitumie namba yako inbox.
na mimi naitaji kuendelea na degree ya secretary yangu maana umenitamanisha maana hapo tatoka na vitu vingi
 
Hii kozi kwa wanaume ipoje Nina tamani kujiunga na hiii kozi ila naogopa nisije nikajikuta mwanaume ni Mimi pekebyangu darasani. Na vipi kwenye ajira wanao pewa kipaombele ni wa Dada au wrote ni sawa??
 
Hii kozi kwa wanaume ipoje Nina tamani kujiunga na hiii kozi ila naogopa nisije nikajikuta mwanaume ni Mimi pekebyangu darasani. Na vipi kwenye ajira wanao pewa kipaombele ni wa Dada au wrote ni sawa??
ata wanaume wanapata tena wanapewa kipaombele sana sisi tulisomaga na mwanaume na aliwahi kupata ajira hadi sasa yuko mahakamani bunda
 
Karibu Magogoni. Hii kozi ni mpya hapa Tanzania na inatolewa TPSC Cumpus ya Dar Es Salam tu kwa level ya Bachelor. Hakuna hata batch moja iliyomaliza, batch ya kwanza itamaliza mwaka wa masomo 2019/2020. Kozi hii inakuwezesha kuwa na skills zifuatazo; how to manage and administering office, writing in Shorthand and Hatimkato, public relations (public relations officer) and Protocol (protocol officer), contemporary secretarial skills (modern secretary hausiki na mambo ya reception), typist, how to manage conferences etc. Kwanza mwaka wangu wa kwanza tu tayari nimekuwa na hizo skills. Ukihitaji maelezo zaidi nitumie namba yako inbox.
naomba unipe procedure za kujiunga hapo TPSC
 
Katika miundo ya utumishi hakuna kada yeyote inayoajiri mtu mwenye hiyo fani, unless mabadiliko yafanyike kwenye miundo iliyopo
mabadiliko yatafanyika maana wao TPSC si wehu kuanzisha kitu kama hakina ajira I hope mpaka wakamalize hao walio anza watakuta ajira zishafunguliwa
 
Back
Top Bottom