MSAADA JAMAN

Official Juma

Member
Aug 1, 2019
10
0
Naomba kufahamu utaratibu baada ya kupewa mkopo chuoni, siku ya kuripoti watakutambuaje kama umelipiwa tuition fees na HESLB je, na utapataje accommodation???
 
relax dogo heslb watatoa list ya waliopata mkopo ikionyesha asilimia ya mkopo wako hapo utajua ada imebaki ngapi umalizie au kama asilimia 100 huna shida na ada hapo kuhusu accodationa baada ya kujisajiri chuoni ukimaliza kila kitu utaambiwa kama we ni wa campus au mqbibo room namba na fujofujo kibao sorry kwa huo mfano
 
Naomba kufahamu utaratibu baada ya kupewa mkopo chuoni, siku ya kuripoti watakutambuaje kama umelipiwa tuition fees na HESLB je, na utapataje accommodation???
MTAPEWA TAARIFA HUSIKA NA PIA ORODHA HUWA INATUMWA HUKO CHUONI KWENU
 
MTAPEWA TAARIFA HUSIKA NA PIA ORODHA HUWA INATUMWA HUKO CHUONI KWENU
Nimeona kunachuo wamesema kujisajiri mpaka uwe umetoa ada kama laki 250,000 sa itakuaje wakati repoting ni tarehe 29 mwezi wa 10 na kujisajir ndo hzo tarehe 25 na bodi ya mkopo wao wamesema tarehe wanatoa majina
 
Nimeona kunachuo wamesema kujisajiri mpaka uwe umetoa ada kama laki 250,000 sa itakuaje wakati repoting ni tarehe 29 mwezi wa 10 na kujisajir ndo hzo tarehe 25 na bodi ya mkopo wao wamesema tarehe wanatoa majina
Kila kitu kimeshaandaliwa utaratibu wake, usiwe na wasiwasi kila kitu kitakuwepo sawa. Usajili upo mpaka mwezi wa 12.
 
Enzi zetu allocation zilikuwa zinatoka hata week 2 kabla ya chuo kufunguliwa so ilikuwa rahisi kujua asilimia za mkopo wako na kujipanga kabisa kwa ajili ya usajili lakini siku hizi doooh!!! Polen sana vijana sheria za chuo usajili huwa unafanyika ndani ya siku 14 za awali lakini kuna vyuo vingine huwa wanaenda zaidi ya hapo...So vijana msiwe na pressure hakuna atakachomoa betri!!! Haki yako utapata tu
 
Back
Top Bottom