Kama kuna kitu unafanya ambacho kitakusaidia kutatua matatizo bro nakushauri acha chuo to be honest mi niko chuo and mwakani namaliza lakini kuwa mkweli tu skuiz degree haina msaa kiivo.
Kama una kipaji au ujuzi au biashara unaifanya endelea nayo tu utafika mbali.
Kwani human resource sio kozi nzuri? We kakwambia nani? Hamna kozi mbaya na hamna kozi ambayo hautatoboa ni vile utaratibu wa upatikanaji kazi umekua mpka connection.
Muulize mtu aliemaliza chuo mwaka huu kama ana logbook ake akupe ukopi kazi zake alizokua anafanya uziandike ila itahitajika...
Mafuta ya mgando yanasaidi kuondoa weusi wa mdomo na kufanya midomo kua laini sana na inakua sexy.
Ukipaka usiku ndo kabisaaa kwa siku 14 midomo yako inakua laini
Habari zenu,
Jamani mi natafuta kibarua cha miezi michache miwili au mitatu tu. Nishamaliza field nimekaa tu home kurudi chuo ni mpaka mwazi wa tatu mwishoni. Sasahii hali ya kukaa nyumbani tu hufanyi chochote na maisha ni magumu sana.
Nilikua naomba mwenye connection yoyote hata dukani naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.